Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kokote duniani Principle ya wana Usalama ni moja tu haijabadilika na haitokuja kubadilika kamwe kuwa Ukisaliti ndani ya Idara au Taasisi Kifo ( Kuuwawa ) ni lazima na hakuna 'Agent' asiyelijua hili na hata hapa Kwetu nchini Montenegro tumeshaona Mifano kadhaa kwa Wahusika.KISIWAGA hata mimi nakumbuka ile siku tuliuawa tukazikwa pale getini. Aisee mpaka leo sitaki kazi ikulu tena.
Jamaa kauliza kiroho safi kupata uhakika ,na kama ni kweli ajue kuna yapi mengine , na kama ni uongo pia ajue, chaUpuuzi jaaz band yaani vijana wooote wale wa JKT wauliwe kisa Ikulu kwani ikulu ni mbinguni? acheni uboya nyie ndio mnaamini matambiko ooh sijui wanachinja zeruzeru sijui takataka gani, hizi ni fiktra za kimasikini sana, kwa taaridfa yako nchio nyingine wanajengewa ikulu zao na wachina sasa sijui nao wakimaliza wanauna.
Kwa satellites zote angani kuna siri gani hapo mpaka usababishe vifo vya watu waiokuwa na hatia?Kuna story nishawahi kuzisikia kuhusu Ikulu, kama zina ukweli wowote naomba kujuzwa hapa
1. Ikulu Kuna njia ya chini kwa chini mpaka Makao makuu ya jeshi
2. Wote wanaohusika kwenye ujenzi wa ikulu wakimaliza wote wanauawa wanazikwa getini pale ikulu
We ushaisikia ipi? na je zina ukweli?View attachment 2256011
Hii ni kweli kwa ikulu zote zilizo jirani na bahariNiliwahi kusikia pia,
Eti kuna njia ya kutokea baharini
hahahaha,namjua mtu/watu waliokimbiza mwenge,wakapewa ukuu wa wilaya na wako hai,yaani story ziko hivyo kwamba.
anayekimbiza mwenge lazima afe hakai siku nyingia
anayeweka msalaba pale juu ya mnara wa kanisa nayeye huwa anakufa tena kwa kuanguka vibaya,labda wawe wamerekebisha tayari.
na hawa wajenzi wa ikulu nao.
sema dunia ndogo sana hii sio ya kubisha kila kitu au kukataa kila kitu.
Inawezekana ni kweli!! Itakuwa ni mazindiko ya sisiemu! Hilo chama na uchawi ni chupi na tacorKuna story nishawahi kuzisikia kuhusu Ikulu, kama zina ukweli wowote naomba kujuzwa hapa
1. Ikulu Kuna njia ya chini kwa chini mpaka Makao makuu ya jeshi
2. Wote wanaohusika kwenye ujenzi wa ikulu wakimaliza wote wanauawa wanazikwa getini pale ikulu
We ushaisikia ipi? na je zina ukweli?View attachment 2256011
...Hivi Huyu Bwana Àliishia Wapi? Nilisoma zamani na Dada yake Georgina Rugimbana ..na Yeye alikuwa Mtoto TU pale Chang'ombe P/School.Mkuu wa Wilaya ya kinondoni!
Baadae Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Baadae Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, safari ikaishia pale,nadhani walipishana kauli na Mzee Magufuli
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
...Angetumia Akili yake TU angepata jibu! Apunguze kusikiliza Stori za Vijiweni!Jamaa kauliza kiroho safi kupata uhakika ,na kama ni kweli ajue kuna yapi mengine , na kama ni uongo pia ajue, cha
Kushangaza we unamjia juu kwa mashutumu na kejeli....
Yupo,lakini sijui ana mishe gani!...Hivi Huyu Bwana Àliishia Wapi? Nilisoma zamani na Dada yake Georgina Rugimbana ..na Yeye alikuwa Mtoto TU pale Chang'ombe P/School.
Emergency exist ipo Hadi kila kituo Cha policeJapo siwezi kupinga kuwepo kwa hiyo emergence exit, lakini ya kuelekea baharini sio lazima ndio maana nikauliza kama na ya Dodoma wanaweka emergence exit kuelekea Bahari Hindi!
BM x6 huo ni uongoKuna story nishawahi kuzisikia kuhusu Ikulu, kama zina ukweli wowote naomba kujuzwa hapa
1. Ikulu Kuna njia ya chini kwa chini mpaka Makao makuu ya jeshi
2. Wote wanaohusika kwenye ujenzi wa ikulu wakimaliza wote wanauawa wanazikwa getini pale ikulu
We ushaisikia ipi? na je zina ukweli?View attachment 2256011
Niliwahi kusikia pia,
Eti kuna njia ya kutokea baharini