Ni kweli wanaojenga Ikulu huwa wanauliwa wakishamaliza kujenga?

Ni kweli wanaojenga Ikulu huwa wanauliwa wakishamaliza kujenga?

KISIWAGA hata mimi nakumbuka ile siku tuliuawa tukazikwa pale getini. Aisee mpaka leo sitaki kazi ikulu tena.
Kokote duniani Principle ya wana Usalama ni moja tu haijabadilika na haitokuja kubadilika kamwe kuwa Ukisaliti ndani ya Idara au Taasisi Kifo ( Kuuwawa ) ni lazima na hakuna 'Agent' asiyelijua hili na hata hapa Kwetu nchini Montenegro tumeshaona Mifano kadhaa kwa Wahusika.
 
Upuuzi jaaz band yaani vijana wooote wale wa JKT wauliwe kisa Ikulu kwani ikulu ni mbinguni? acheni uboya nyie ndio mnaamini matambiko ooh sijui wanachinja zeruzeru sijui takataka gani, hizi ni fiktra za kimasikini sana, kwa taaridfa yako nchio nyingine wanajengewa ikulu zao na wachina sasa sijui nao wakimaliza wanauna.
Jamaa kauliza kiroho safi kupata uhakika ,na kama ni kweli ajue kuna yapi mengine , na kama ni uongo pia ajue, cha
Kushangaza we unamjia juu kwa mashutumu na kejeli....
 
Kuna story nishawahi kuzisikia kuhusu Ikulu, kama zina ukweli wowote naomba kujuzwa hapa

1. Ikulu Kuna njia ya chini kwa chini mpaka Makao makuu ya jeshi

2. Wote wanaohusika kwenye ujenzi wa ikulu wakimaliza wote wanauawa wanazikwa getini pale ikulu

We ushaisikia ipi? na je zina ukweli?View attachment 2256011
Kwa satellites zote angani kuna siri gani hapo mpaka usababishe vifo vya watu waiokuwa na hatia?
 
yaani story ziko hivyo kwamba.

anayekimbiza mwenge lazima afe hakai siku nyingia

anayeweka msalaba pale juu ya mnara wa kanisa nayeye huwa anakufa tena kwa kuanguka vibaya,labda wawe wamerekebisha tayari.

na hawa wajenzi wa ikulu nao.
sema dunia ndogo sana hii sio ya kubisha kila kitu au kukataa kila kitu.
hahahaha,namjua mtu/watu waliokimbiza mwenge,wakapewa ukuu wa wilaya na wako hai,
dodoma kn vijbna jkt wamejenga ikulu wako hai
 
Kuna story nishawahi kuzisikia kuhusu Ikulu, kama zina ukweli wowote naomba kujuzwa hapa

1. Ikulu Kuna njia ya chini kwa chini mpaka Makao makuu ya jeshi

2. Wote wanaohusika kwenye ujenzi wa ikulu wakimaliza wote wanauawa wanazikwa getini pale ikulu

We ushaisikia ipi? na je zina ukweli?View attachment 2256011
Inawezekana ni kweli!! Itakuwa ni mazindiko ya sisiemu! Hilo chama na uchawi ni chupi na tacor
 
Mkuu wa Wilaya ya kinondoni!

Baadae Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Baadae Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, safari ikaishia pale,nadhani walipishana kauli na Mzee Magufuli

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
...Hivi Huyu Bwana Àliishia Wapi? Nilisoma zamani na Dada yake Georgina Rugimbana ..na Yeye alikuwa Mtoto TU pale Chang'ombe P/School.
 
Jamaa kauliza kiroho safi kupata uhakika ,na kama ni kweli ajue kuna yapi mengine , na kama ni uongo pia ajue, cha
Kushangaza we unamjia juu kwa mashutumu na kejeli....
...Angetumia Akili yake TU angepata jibu! Apunguze kusikiliza Stori za Vijiweni!
 
Hata mimi nimesikia kuna barabara chini ya bahari tokea dar mpaka marekani.
 
Hii iliwatokea sana wajenzi wa ma'pyramid' mara baada ya farao husika kuzikwa! ... maana mafarao walikuwa wanazikwa na hazina kubwa sana kiasi ambacho mjenzi, japo amejazwa hofu nyingi za kishirikina, anaweza kujaribu kubomoa kaburi na kuiba mali za mfalme na kumfanya lofa katika maisha yake ya ahera! 😅
 
Kuna story nishawahi kuzisikia kuhusu Ikulu, kama zina ukweli wowote naomba kujuzwa hapa

1. Ikulu Kuna njia ya chini kwa chini mpaka Makao makuu ya jeshi

2. Wote wanaohusika kwenye ujenzi wa ikulu wakimaliza wote wanauawa wanazikwa getini pale ikulu

We ushaisikia ipi? na je zina ukweli?View attachment 2256011
BM x6 huo ni uongo
 
Back
Top Bottom