Ni lazima sasa Ukraine iipige Urusi ndani kabisa-Biden

NATO ina mipasuko mingi sana.Masuala ya kiuchumi yanaifanya kila nchi ijiangalie upya.Wanaolazimisha mambo mpaka sasa ni Marekani na UK na kila mmoja yuko hoi.Kumbuka Marekani imekubali kutoa mabomu machafu kuipa Ukraine kwa kutangaza wazi wazi kuwa wameishiwa na silaha za kuipa Ukraine mpaka watakapotengeneza mpya.
Ujerumani nayo imepeleka silaha zilizopitwa na muda na hazifanyi kazi tena.Ukraine walipoziingiza uwanjani wakagundua hivyo wakasema watarudisha kwao.Kitu cha kugaiwa usifanye hasira ukarudisha baki nacho tu.Kwa vile inaomba omba itapelekewa kama hivyo tena na tena,
 
Hakika
Wstu wengi wanafhabi vita ni ubora wa silaha. Lakini ukiwa na akili unaweza kukiteka kifaru kwa kutumia chupa ya soda tu
 
Tukeemee ssna hii vita kwa ssbabu wanaoumia siyo viongozi bali ni raia
 
Ukiwaamini wamarekani unastahili kuhurumiwa!! Marekani wako kwenye biashara ya silaha!! Hizi silaha anazopewa Ukraine siyo hisani!! Ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!! Ni kama vile Marekani ilivyozikopesha nchi za ulaya wakati wa vita kuu ya pili!! Marekani inajua kabisa kuwa Ukraine haiwezi kutoboa mbele ya Urusi, lakini haiwezi kabisa kuachia hii fursa ya kuuza silaha zake na kutoa mikopo ya muda mrefu renye riba!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…