ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Siku hizi zimeibuka NGOs zinazojiasibu kutetea mwanamke.
Huwa najiuliza wanamtetea mwanamke dhidi ya adui Gani bila shaka ni mwanaume.
Hakuna mwanaume asiyehusika na mwanamke, hawa wanawake mnaowafanya adui ili kuibua utengano na uvunjifu wa maadili ndo mama za mwanaume, ndo Binti zetu, ndo shangazi zetu, ndo wakwe n.k.
Hivi **** mwanaume atadhulumu haki ya mama yake, Binti, shangazi, bibi au rafiki?
NGOs ziliingiwa kuwatetea wanawake Sasa wanawake ambayo hawakuchuja wakajawa na ujuaji na kibri ati wanaweza ndo hao hawaolewi, wamekuwa ma single mother, mkopo ya vikoba na kausha damu inawaandama wanawake, wanafanya biashara bila faida, wamekuwa wasagaji, wadangaji maana wanaume hawataki wanawake wajuaji,
Wanawake nawambieni tu jiepushe na hizo hamasa na elimu bandia za usawa, mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaum
Huwa najiuliza wanamtetea mwanamke dhidi ya adui Gani bila shaka ni mwanaume.
Hakuna mwanaume asiyehusika na mwanamke, hawa wanawake mnaowafanya adui ili kuibua utengano na uvunjifu wa maadili ndo mama za mwanaume, ndo Binti zetu, ndo shangazi zetu, ndo wakwe n.k.
Hivi **** mwanaume atadhulumu haki ya mama yake, Binti, shangazi, bibi au rafiki?
NGOs ziliingiwa kuwatetea wanawake Sasa wanawake ambayo hawakuchuja wakajawa na ujuaji na kibri ati wanaweza ndo hao hawaolewi, wamekuwa ma single mother, mkopo ya vikoba na kausha damu inawaandama wanawake, wanafanya biashara bila faida, wamekuwa wasagaji, wadangaji maana wanaume hawataki wanawake wajuaji,
Wanawake nawambieni tu jiepushe na hizo hamasa na elimu bandia za usawa, mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaum