Umelinganisha ubaguzi wa rangi (race discrimination) na mfadhaiko wa kijinsia (gender dysphoria).
Swala na wazungu kubagua waafrika ni swala la kibaguzi of which haki na maslahi hayana mashiko na rangi bali haki ya kimsingi ya kibinadamu.
Mtu mweupe akiachana na mwafrika na wasiingiliane hakuna kitakacho haribika kwasababu watu weusi wataendelea kudominate dunia, watazaliana kwa wingi na kutengeneza political space ya watu weusi na hatimae kustawi na kuwa superior race sababu watajanga system zao.
Haya tugawane mabara hapa. Feminists mpewe bara lenu mtengeneze Utopian state ya feminists, mtatoboa?
Mtajipiga miti wenyewe, mtazaliana vipi, nani atakuwa mama na nani atakuwa baba, nani atasimamia nje ya nyumba nani atasimamia ndani ya nyumba?
Hivi unajua recently Feminism imeanza kuwa. Classified kama mental health issue? [emoji848]
Huko magharibi 3rd wave feminism propaganda imekuwa associated na gender dysphoria issues kama ushoga, transsexualism, mental issues kama depression, suicides, devorce, low birth rate etc.
Why wewe unahisi upo sahihi sana kusapoti ujinga kama kama huu halafu unataka uonekane ni mwanamke unayoitakia mema jamii yako? [emoji848]