Haka ni katoto hakajui maisha hapa kaongea hapo kwa kutumia WiFi ya Daddy na mommy, na kamemaliza form six au chuo kazi kanakwenda kufanya kwenye kampuni ya daddy na mommy so hakajui hata life la vicoba, kausha damu linaendeshwaje. Kakiwa na shida, Baba na mama wapo wanakashika mkono, sista na bro wapo vema so shida anazowaza ni ile trip ya kwenda uingereza kimasomo nita apply lini, hayo ndio matatizo ambayo kwake yapo ila swala la mateso ya mtaani anayajulia wapo sololabien mtoto shanta wa kishua huyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angejua wenzake huku mtaani baba na mama na familia nzima wanasaidiwa na mkwe, mwanamke anaanzaje kuleta fyoko za ufeminist kwanza mama yake mzazi atamuua kabla haya mkwe /mumewe hajamlamba makofi.
Watanzania kwa asilimia kubwa ni watu wa hali ya kubangaiza sana. Wewe uje na hoja za kifeminist hapa kwenye huu uchumi wa tanzania ambao piga uwa kwa mwezi bills za nyumbani tu hazipungui milioni. Kwa hela gani sasa anayopata feminist wa kitanzania ili awese cover bills zote hizo kwa miaka 60 [emoji23][emoji23][emoji23] na hana kazi ya maana plus Maisha yasiyo na mbele wala nyuma haya ndugu hawajakufuata kukullia shida
Hawa wadudu wanahisi Maisha ni movie waacheni msiwashtue. Waje wafunzwe na ulimwengu.