Ni lini adui wa mwanamke akawa mwanaume

Ni lini adui wa mwanamke akawa mwanaume

Haujaelewa mada upo confused hata haujui unatetea nini, unaleta maelezo ambayo hata hayahusiani na topic na kuelekezwa hautaki. Itoshe tu kusema asante kwa comment yako
Ni wapi nilipotoka nje ya mada nioneshe, wewe kama hujanielewa sema tu acha kusingizia eti sijaelewa mada, au unataka niandike unachotaka kukisikia na kinacho kufurahisha ndio uone niko ndani ya mada
 
Haka ni katoto hakajui maisha hapa kaongea hapo kwa kutumia WiFi ya Daddy na mommy, na kamemaliza form six au chuo kazi kanakwenda kufanya kwenye kampuni ya daddy na mommy so hakajui hata life la vicoba, kausha damu linaendeshwaje. Kakiwa na shida, Baba na mama wapo wanakashika mkono, sista na bro wapo vema so shida anazowaza ni ile trip ya kwenda uingereza kimasomo nita apply lini, hayo ndio matatizo ambayo kwake yapo ila swala la mateso ya mtaani anayajulia wapo sololabien mtoto shanta wa kishua huyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Angejua wenzake huku mtaani baba na mama na familia nzima wanasaidiwa na mkwe, mwanamke anaanzaje kuleta fyoko za ufeminist kwanza mama yake mzazi atamuua kabla haya mkwe /mumewe hajamlamba makofi.

Watanzania kwa asilimia kubwa ni watu wa hali ya kubangaiza sana. Wewe uje na hoja za kifeminist hapa kwenye huu uchumi wa tanzania ambao piga uwa kwa mwezi bills za nyumbani tu hazipungui milioni. Kwa hela gani sasa anayopata feminist wa kitanzania ili awese cover bills zote hizo kwa miaka 60 [emoji23][emoji23][emoji23] na hana kazi ya maana plus Maisha yasiyo na mbele wala nyuma haya ndugu hawajakufuata kukullia shida

Hawa wadudu wanahisi Maisha ni movie waacheni msiwashtue. Waje wafunzwe na ulimwengu.
NI sahihi kabisa linapokuja suala la kuipitisha 50/50 wanawake wao wenyewe hawawezi kufanya maamuzi for once and for all kwa sababu wengi wao wapo broke au kuna huduma za kifedha wanategemea kuzipata kutoka kwa mwanaume, ndio hapo wamebaki kuji-position kulingana na hali zao kiuchumi, mwanamke akijimudu kuichumi anakua ferminist anataka madaraka sawa na mwanaume akiwa broke anakua submissive kwa mwanaume ili ahudumiwe kila kitu. Kama wanajiamini waipitishe 50/50 tubebe majukumu sawa kila nyanja tuone nani ataflop mapema
 
Mbona kama hii ni exaggration??? Yani umekutana na mwanamke....hauna chochote ukajenga nyumba hii hapa mke anakimbia mahakamani kuidai??

Una uhakika haujaoa mtu mwenye tatizo la akili, kama maelezo yako ni ya kweli?!
Mbona hizo incidence zipo nyingi mummie, au unaishi dunia gani??
 
Ameongea ukweli hii kasumba ya kujifanya wapambanaji sijui super women inawatesa sana na pamoja na jeuri yenu ya kutaka kutunishiana msuli na wanaume mtalukaluka wewe lakini mwishoe athari za mlichokifanya kama kushindwa kulipa mikopo ya kaush damu, kutiwa mimba mkiwa nyumbani atayezibeba ni mwanaume uyo uyo either mumeo, kaka. Baba n.k tatizo lenu mnafikiri walengwa ni waliopo kwenye mahusiano ya kimapenzi tu hamuangalii picha kwa upana na kuona hata dada, shangazi, mabinti wenu nao wapo kwenye kundi la wanawake
Wao wakiwa wakiwa wanaleta hujuma zao za kifeminist wanahisi wanao wahujumu ni Ma X zao kumbe kuna hadi watoto wao wa kiume wanahujumiwa.
 
Na kwa sisi wanaume...uwe umesoma au hujasoma jua kabisa hawa ndugu zetu wana akili...wana jicho la tatu...unaweza mzingua ukijua ni mfumo dume umekubeba kumbe anakulia tyming tu...kwa kifupi hatuwawezi kamwe...Hivi mwenyewe tu aliye waumba...alisema ishi nao kiakili..tafsiri yake nini...wewe timiza tu majukumu yako...tusiyakane maandiko...tutatafuta kwa jasho na wao watazaa kwa uchungu...ikitokea katafuta chake ni chake hurusiwi kutolea macho...
Unaonekana dhaifu sana na mbaya zaidi unajionyesha mchana kweupe.
 
Wako kwenye kitu kinaitwa fight against nature.
Bahati mbaya nchi za wapumbavu ndio wameichukua hii nakuivalia kibwebwe huku Big boyz wakituchora tu.
 
Haujaelewa mada wewe. Mada imewagusa wanawake kwa ujumla dada, mama, mke, shangazi n.k sio waliopo ndoani tu. Mbona unalazimisha kuipeleka mada katika mlengo wako tofauti. Hata hawa wakina dada wanaoshindwa kulipa mikopo ya kausha damu ndugu tunalazimika kubeba huo msalaba wa kuyalipa, mabinti wanaopewa mimba na kuzalia nyumbani ndugu tunalazimika kubeba iyo aibu hao wote ni wanawake na wamelengwa kwenye mada. Kipi ambacho hauelewi wewe?
Ndio mchezo wake huo, ukimwambia mjadili Pepsi yeye atakuletea hoja za chai ya majani ya chai, coca-cola, mirinda nyeusi, Azam cola, oil chafu, maji aliyonawa mshika mkaa, kiwi, rangi nyeusi, yaani ataleta chochote chenye rangi nyeusi mradi tu ni cheusi na ukimuuliza why unajadili vitu ambavyo sio Pepsi atakwambia wewe si unaongelea soda nyeusi? [emoji23][emoji23][emoji23] Huwa kanachanganya hisia zake na visa vya watu then kanajengea hoja, sijui kanashida gani na ukikaelewesha ni kazito kuelewa.

Ingekuwa movie la kutisha ndio vile vijitu vinakufa mapema.
 
Kama uyo jadda ndio anapenda ligi kinoma subiri akiweka bando atarudi nakwambia atabishana na watu 100 peke ake hapa, uyo dawa yake unampa somo na reply moja au mbili tu unaachana nae
Anapenda kubisha ila ukimwambia anakwambia una muattack personally na haulengi mada. [emoji23]
 
Sasa kama wanawake wangekuwa hawanyanyaswi watu wangepoteza muda wao kuanzisha hizo NGOs, kwahiyo wanaume kuwazalisha mabinti na kukimbia majukumu unaona ni sawa ila shida iko kwa wanawake tu si ndio, malalamiko yanayotoka kwa wanaume wengi kwenye ndoa dhidi ya wake zao yanadhihirisha wanaume ndio wanateseka zaidi na maovu ya wanawake ndio maana wao ndio wanayapigia kelele
Kwann usiseme mabinti wanazaa na wanaume irresponsible halafu wanalalamika. Why unataka ionekane mwanaume ni guilty mwanamke ni innocent? [emoji848]
 
Ameongea ukweli hii kasumba ya kujifanya wapambanaji sijui super women inawatesa sana na pamoja na jeuri yenu ya kutaka kutunishiana msuli na wanaume mtalukaluka wewe lakini mwishoe athari za mlichokifanya kama kushindwa kulipa mikopo ya kaush damu, kutiwa mimba mkiwa nyumbani atayezibeba ni mwanaume uyo uyo either mumeo, kaka. Baba n.k tatizo lenu mnafikiri walengwa ni waliopo kwenye mahusiano ya kimapenzi tu hamuangalii picha kwa upana na kuona hata dada, shangazi, mabinti wenu nao wapo kwenye kundi la wanawake
Ni kweli kabisa.
Hatukatai wanawake kutafuta namna ya kujikimu bali, hatutarajii kuona mwanamke leo kisa anaingiza kipato basi anajipa nafasi ya uanaume.
Ndio wajiulize kwanini inatokea wanaume wasasa hawatamani kuwa na mwanamke wa aina hiyo.

Inasikitisha mwishobwa siku katika hicho kiburi cha kujitaftia wanaingia shimo ambalo hawawezi kujitoa bila msaada wa mwanaume.

Kama vinaweza tusivisikie vinalialia.
 
Haujaelewa mada upo confused hata haujui unatetea nini, unaleta maelezo ambayo hata hayahusiani na topic na kuelekezwa hautaki. Itoshe tu kusema asante kwa comment yako
Kanapenda kuhamisha magoli kakiona kanashindwa hoja zake ni hafifu. Ukimwambia anakwambia mbona anani attack personally? [emoji23][emoji23][emoji23] Huwa nakaonea huruma sana kama ndivyo kalivyo hadi uraiani. Walahi mwanaume akae na kademu kama haka utashangaa tu siku anapelekea mbata za kutosha maana kakianza kuongea hakajuagi kukaa na mada.


Mfano wake ni kakukanyage ukaulize wewe mbona unanikanyaga utasikia kanajibu "enheeee na Putin anavyoishambulia Israel, Kongo wanavyopigana, unaguzi wa rangi pale South Africa, hayo yote yanakufurahisha ila sio ulipe kodi yako TRA si ndio?" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Halafu kenyewe kanajiona kamejenga hoja kabisa kumbe nyie mnajadili ugumu wa kanda la nazi yeye anajadili fenesi. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dah.
 
Furaha ya kuwa na wake wema kwenye ndoa wake ambao watakuwa tayari kuwatii, kuwanyenyekea, kuwafariji na kuwaliwaza waume zao, maana those are among what make most men feel superior and sane in one way or another tofauti na hali ilivyo sasa, ambayo ndio inapelekea malalamiko mengi kutoka kwa wanaume kuliko kwa wanawake
So kwa maoni yako wanaume wakiamua kujenga mfumo wa kuishi nje ya ndoa kama wanaume wa magharibi wakaamua kuachana na kuona pride ya kuwa mume na baba bora wa familia wawe wahuni tu na wafocus kufanya biashara, pesa zao wanunulie magari na kujengea bachelor pads za kisasa na kuishi kwa kulala na makahaba ambao nao hawazai watoto wala nini ili wabakie kuwa na mvuto, hii jamii itaendelea kuwapo in the next 50 to 100 years kama watu watakuwa hivyo? [emoji848]

So ninachotaka kukwambia hapa ni kuwa unafikiria men do things for themselves while in reality its for the greater good of society. Wanaume ni viongozi so wanachosema sio kwa lengo la kukandamiza mwanamke bali ni kumpa direction ya kufuata. Mwanamke akifuata anachoambiwa wanaume wataanza wajibika.
 
So kwa maoni yako wanaume wakiamua kujenga mfumo wa kuishi nje ya ndoa kama wanaume wa magharibi wakaamua kuachana na kuona pride ya kuwa mume na baba bora wa familia wawe wahuni tu na wafocus kufanya biashara, pesa zao wanunulie magari na kujengea bachelor pads za kisasa na kuishi kwa kulala na makahaba ambao nao hawazai watoto wala nini ili wabakie kuwa na mvuto, hii jamii itaendelea kuwapo in the next 50 to 100 years kama watu watakuwa hivyo? [emoji848]

So ninachotaka kukwambia hapa ni kuwa unafikiria men do things for themselves while in reality its for the greater good of society. Wanaume ni viongozi so wanachosema sio kwa lengo la kukandamiza mwanamke bali ni kumpa direction ya kufuata. Mwanamke akifuata anachoambiwa wanaume wataanza wajibika.
Umenena vyema mkuu
 
Haka ni katoto hakajui maisha hapa kaongea hapo kwa kutumia WiFi ya Daddy na mommy, na kamemaliza form six au chuo kazi kanakwenda kufanya kwenye kampuni ya daddy na mommy so hakajui hata life la vicoba, kausha damu linaendeshwaje. Kakiwa na shida, Baba na mama wapo wanakashika mkono, sista na bro wapo vema so shida anazowaza ni ile trip ya kwenda uingereza kimasomo nita apply lini, hayo ndio matatizo ambayo kwake yapo ila swala la mateso ya mtaani anayajulia wapo sololabien mtoto shanta wa kishua huyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Angejua wenzake huku mtaani baba na mama na familia nzima wanasaidiwa na mkwe, mwanamke anaanzaje kuleta fyoko za ufeminist kwanza mama yake mzazi atamuua kabla haya mkwe /mumewe hajamlamba makofi.

Watanzania kwa asilimia kubwa ni watu wa hali ya kubangaiza sana. Wewe uje na hoja za kifeminist hapa kwenye huu uchumi wa tanzania ambao piga uwa kwa mwezi bills za nyumbani tu hazipungui milioni. Kwa hela gani sasa anayopata feminist wa kitanzania ili awese cover bills zote hizo kwa miaka 60 [emoji23][emoji23][emoji23] na hana kazi ya maana plus Maisha yasiyo na mbele wala nyuma haya ndugu hawajakufuata kukullia shida

Hawa wadudu wanahisi Maisha ni movie waacheni msiwashtue. Waje wafunzwe na ulimwengu.
Hivi katika dunia ya leo ambayo uchumi ni suala dynamic na nchi karibu zote zinaelekea kuwa developed unawezaje kujenga hoja ya uhitaji wa ndoa kwa wanawake kwa kuzingatia suala la uchumi, okay kwahiyo ikifika kipindi wanawake wengi wakiwa na uchumi mzuri na kuweza kujisimamia maana yake ndoa ndio basi tena kwa sababu kilichokuwa kinawafanya wahitaji ndoa wanaweza kukipata bila ndoa si ndio, yani mimi nilitegemea uhitaji wa ndoa liwe suala universal kwa wanawake wote duniani na lisichangiwe na external factor yoyote bali liwe ni internal motive ila badala yake limekuwa suala subjective yani linahitaji eti mpaka mwanamke awe na hali fulani ndio aihitaji ndoa vipi na kwenu je
Kwann usiseme mabinti wanazaa na wanaume irresponsible halafu wanalalamika. Why unataka ionekane mwanaume ni guilty mwanamke ni innocent? [emoji848]
Na hapo ndipo tatizo lilipo ambalo nahisi ninyi hamlioni au mnaliona ila hamtaki kuliongelea mnataka kulazimisha liwe uhalisia sasa kwanini mwanaume awe irresponsible tuanzie hapo kwanza, yani kwanini jamii isiweke mkazo na kwenye kulea watoto wa kiume wawe responsible (najua hapa utasingizia kwamba single mothers ndio wanaharibu watoto wa kiume ila hata hao single mothers wengi ni matokeo ya irresponsible fathers), wewe unanilisha tu maneno ila mimi msimamo wangu ni kwamba wote hapo wako guilty ila ninyi mnalazimisha ionekane kwamba siku zote mwanamke yuko guilty ila mwanaume yuko innocent just because of the consequences
So kwa maoni yako wanaume wakiamua kujenga mfumo wa kuishi nje ya ndoa kama wanaume wa magharibi wakaamua kuachana na kuona pride ya kuwa mume na baba bora wa familia wawe wahuni tu na wafocus kufanya biashara, pesa zao wanunulie magari na kujengea bachelor pads za kisasa na kuishi kwa kulala na makahaba ambao nao hawazai watoto wala nini ili wabakie kuwa na mvuto, hii jamii itaendelea kuwapo in the next 50 to 100 years kama watu watakuwa hivyo? [emoji848]

So ninachotaka kukwambia hapa ni kuwa unafikiria men do things for themselves while in reality its for the greater good of society. Wanaume ni viongozi so wanachosema sio kwa lengo la kukandamiza mwanamke bali ni kumpa direction ya kufuata. Mwanamke akifuata anachoambiwa wanaume wataanza wajibika.
Kama mna huo uwezo wa kuamua kujenga mfumo wa kuishi nje ya ndoa kwanini msiamue sasa hivi kwani mnavyoendelea kuoa mnafaidika na nini hasa wakati kila siku ndio kwanza malalamiko kwenye ndoa toka kwa wanaume yanazidi, yani mnataka kutuaminisha kwamba ninyi mna upendo wa agape mmeamua kusacrifice furaha na afya zenu kuwaoa hawa wanawake pamoja na maovu yao yote haya eti kwa vile mnajali na mnawaonea huruma, by the way wenzenu wanawake wameshaanza kujenga mfumo wa kuishi nje ya ndoa kwa sababu wameshaona wanaume waoaji wanazidi kupungua sijui kama mnasoma alama za nyakati na mmesha notice hilo au mna endelea kudwell in the past na kujifariji
 
Back
Top Bottom