Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo wewe! Nyerere alikuwa anavaa hovyo hovyo kama huyu? JK alikuwa ni Kanali wa Jeshi, lakini ulimbukeni huu hakuwa nao!Ni kweli maana gwanda hutisha wabadhirifu, wahalifu na mafisadi. Hao watanzania unaotaja ni kina nani? Maana unajumuisha wote kuwa wanatishika, kweli? Acheni uhuni jamaa kawakamata. Nyerere mwenyewe unayemnukuu kavaa magwanda sana.
Ndio af ITV wameweka kwenye page yao. Yaan wamemnukuu kaama alivyoyasema.Jamani haya ya jana?uwiii...mbona kamdhalilisha hv huyu mama!
View attachment 1267903
iko wazi kwamba yeye ndiye kiongozi wa juu kabisa wa majeshi yote nchini.
Swali langu ni dogo tu , ni lini Mheshimiwa atavaa sare za polisi ili kuonyesha kuunga mkono juhudi zao za kupambana na uhalifu au ni lazima avae za JWTZ tu kama ambavyo ameonekana mara kadhaa?
Naomba kuwasilisha.
"I wish I could be IGP"View attachment 1267903
iko wazi kwamba yeye ndiye kiongozi wa juu kabisa wa majeshi yote nchini.
Swali langu ni dogo tu , ni lini Mheshimiwa atavaa sare za polisi ili kuonyesha kuunga mkono juhudi zao za kupambana na uhalifu au ni lazima avae za JWTZ tu kama ambavyo ameonekana mara kadhaa?
Naomba kuwasilisha.
Comment yako imenifanya nifikirie nje ya box. At first, sikuona kama ni big dea maana kama Amiri Jeshi Mkuu he can dress anyhow until I saw this Civilian Leadership of the Military
Kiukweli as you said, JPM ana kaushamba flani. Anafanya kila kitu in extremities
Hekima ni uhuru; UDSM.Acha uongo wewe! Nyerere alikuwa anavaa hovyo hovyo kama huyu? JK alikuwa ni Kanali wa Jeshi, lakini ulimbukeni huu hakuwa nao!
Ukipiga hayo madebe yakiisha utapiga nini?Mmh mimi.nawaza hayo.magwanda na hili.jibuView attachment 1267949
Haifai kabisa, rais kuvaa migwanda ya jeshi afu eti anaenda kusikiliza wananchi, binafsi naona kitu cha ajabu na kutisha wansnchi.
Angalieni wanavyomwambia matatizo yao kila mmoja ana uoga.
SijakuelewaUkipiga hayo madebe yakiisha utapiga nini?
Jana kamwambia mpiga debe pale Msamvu "Ukipiga hayo madebe yakiisha utapiga nini?"Sijakuelewa
Jana kamwambia mpiga debe pale Msamvu "Ukipiga hayo madebe yakiisha utapiga nini?"