Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Siku nikivaa bakabaka napita selfika live kabisa ila natoa name tag πππUnanichekeshaaa Mwachiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayaa kurutaaa, piga tiziii, piga jarambaa, vaa gwandaa.
Watu weuweeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan Mwachiii uvae Kitengee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku nikivaa bakabaka napita selfika live kabisa ila natoa name tag [emoji23][emoji23][emoji23]
Utaenda mahabusu nakwambiaaYaan Mwachiii uvae Kitengee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jeshii limeingiliwaaa, mwayaaa mie ndo ntakua nakunawaa km kawaa.
Kitengee chako hakitanihusuuu. Lol
Wee usinitishiee mie, miezi 3 imetosha kunikomazaa.Utaenda mahabusu nakwambiaa
ahaahahhah kwamba kinyago ulicho kichonga mwenye hakikutishiWee usinitishiee mie, miezi 3 imetosha kunikomazaa.
Mwachiii hunisumbuii wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwachiii hata uvae gwandaa, labda uwe na wenzio.ahaahahhah kwamba kinyago ulicho kichonga mwenye hakikutishi
π€£π€£π€£ Si watamuonea huko jeshini mwachi wetu jamani!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mwachii uko msata,? Nyiee nachekaa huku hatariiiii.
Woiiiiiiih, jeshii limeiingiliwaa!!
Lamomy uduguuu njoo ujioneee huku mamboo yamekwivaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah nimecheka sana ety utanivua balleti?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwachiii hata uvae gwandaa, labda uwe na wenzio.
Lakini pekee akoo, aaaah thubutuuu,naweza hata kukuvua kofiaa.
Ila upambanee sasa huko mwayaaa, uje tufaidi pesaa hizoo.
Ntakua chawa wako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π€£π€£π€£ mtanifanya nisifanye kazi yangu kwa hivi vimbwanga vyenu hapaNipo nakimbia uku mbio za chakula ila chakula si haba mchana tumekula ugali rost ya nyama mboga za majani na otamilo hapa nimeshiba nasubiri kuitika lokooo tumwagwe tukasimame mnazi
Ahahhahπ€£π€£π€£ Si watamuonea huko jeshini mwachi wetu jamani!!
Sema mnapendana had raha wenyewe na mwachi wako
Ahahahah hapa msata kunajoto sana natamani kula ukuta nimenyoa upara mda wote napigwa kichwani kichwa cha umaaπ€£π€£π€£ mtanifanya nisifanye kazi yangu kwa hivi vimbwanga vyenu hapa
Pole sana ungeenda ngerengere ndio kunakufaa kule π€£π€£π€£Ahahahah hapa msata kunajoto sana natamani kula ukuta nimenyoa upara mda wote napigwa kichwani kichwa cha umaa
Kwamba baba mpishi afu usile nyama labda kama kibogoyoMambo sio rahisi hivo na mwanangu Moja mzee wake Alikuwa CP miaka Fulani mchizi kitengeee hajavaa mzee alikuwa 1 star Gen
Ndio wapi oljoro?Pole sana ungeenda ngerengere ndio kunakufaa kule π€£π€£π€£
Ata kibogoyo anamezaKwamba baba mpishi afu usile nyama labda kama kibogoyo
Usikute mchizi damu chafu hawezi akataja sababu ya kutokwendaKwamba baba mpishi afu usile nyama labda kama kibogoyo
Ndio apo yani unataka kusema gaguti ana mwanae asiende afu wewe hamisi wa kitunda kivule uendeπUsikute mchizi damu chafu hawezi akataja sababu ya kutokwenda
Labda kama hakuamua awe.Mambo sio rahisi hivo na mwanangu Moja mzee wake Alikuwa CP miaka Fulani mchizi kitengeee hajavaa mzee alikuwa 1 star Gen
Ata koplo anakupelekaLabda kama hakuamua awe.
Madogo wanawekwa na Sargent tu isitoshe cheo cha mzee ? Labda hakutaka