Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Unanichekeshaaa Mwachiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayaa kurutaaa, piga tiziii, piga jarambaa, vaa gwandaa.
Watu weuweeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku nikivaa bakabaka napita selfika live kabisa ila natoa name tag πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Siku nikivaa bakabaka napita selfika live kabisa ila natoa name tag [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan Mwachiii uvae Kitengee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jeshii limeingiliwaaa, mwayaaa mie ndo ntakua nakunawaa km kawaa.
Kitengee chako hakitanihusuuu. Lol
 
ahaahahhah kwamba kinyago ulicho kichonga mwenye hakikutishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwachiii hata uvae gwandaa, labda uwe na wenzio.
Lakini pekee akoo, aaaah thubutuuu,naweza hata kukuvua kofiaa.

Ila upambanee sasa huko mwayaaa, uje tufaidi pesaa hizoo.
Ntakua chawa wako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
🀣🀣🀣 Si watamuonea huko jeshini mwachi wetu jamani!!
Sema mnapendana had raha wenyewe na mwachi wako
 
Dah nimecheka sana ety utanivua balleti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…