Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
Point kubwa sana hii ngoja waje tupate mwangaza....💯hivi wakifanyiwa usaili makambini inamaana wanamaliza kila kitu hadi vipimo au wakifika tena kule RTS wanafanyiwa tena usaili pamoja na vipimo?
Hii imeendaaaKheee wa mtaani mbn wanapiganisha tangia ilivyotangazwa mwakajana saiv wengi wao wanasubir simu tu🥴🥴
RTS vipimo ni 22/7 nduguhivi wakifanyiwa usaili makambini inamaana wanamaliza kila kitu hadi vipimo au wakifika tena kule RTS wanafanyiwa tena usaili pamoja na vipimo?
Anakumbuka shuka kumekucha🤣🤣Hii imeendaaa
Sahivi wanafanya uhakiki kwa wale waliopo makambini ila sasa kimtaani mtaani ukiwaambia uhakiki hawawezi kukuelewa so ukitumia neno usaili ndio utaeleweka vzr.So kwasasa wapo kwenye uhakiki wa details zao maana usaili walishafanya kipindi wanaingia jkt uhakiki ukiisha zitaanza kusomwa message kwa wale watakaokuwa wamechaguliwa kwenda RTS.hivi wakifanyiwa usaili makambini inamaana wanamaliza kila kitu hadi vipimo au wakifika tena kule RTS wanafanyiwa tena usaili pamoja na vipimo?
Kwani majina yametoka?Sahivi wanafanya uhakiki kwa wale waliopo makambini ila sasa kimtaani mtaani ukiwaambia uhakiki hawawezi kukuelewa so ukitumia neno usaili ndio utaeleweka vzr.So kwasasa wapo kwenye uhakiki wa details zao maana usaili walishafanya kipindi wanaingia jkt uhakiki ukiisha zitaanza kusomwa message kwa wale watakaokuwa wamechaguliwa kwenda RTS.
So wakifika kule RTS sasa ndio watafanya usaili wa vyeti na vipimo upya,inasemekana kuwa mwez wa 6 mwishoni mpka mwez wa Saba hapo katikati ndio wataanza kwenda kuripoti RTS.
Bado wapo makambini… Lonja la uhakika hiliKwani majina yametoka?
Ila washajulikana wanaoenda RTS au sio??Bado wapo makambini… Lonja la uhakika hili
Wapo ambao kwenye PDF walishakuwepo kitambo, hao wa sasa hivi ni wa kuongezea na wengine ni kwa ajili ya kufanya jambo lionekane kuwa limepitia michakato yote…Ila washajulikana wanaoenda RTS au sio??
Baba kanituma wachangamke sasa mana bila mbanga kuingia pale ni shidaWapo ambao kwenye PDF walishakuwepo kitambo, hao wa sasa hivi ni wa kuongezea na wengine ni kwa ajili ya kufanya jambo lionekane kuwa limepitia michakato yote…
Kambi ya jkt hawapimi afya watakutana nayo rtshivi wakifanyiwa usaili makambini inamaana wanamaliza kila kitu hadi vipimo au wakifika tena kule RTS wanafanyiwa tena usaili pamoja na vipimo?
Hii ndo Ronja ya uhakika mwenye macho atazame hapa...Sahivi wanafanya uhakiki kwa wale waliopo makambini ila sasa kimtaani mtaani ukiwaambia uhakiki hawawezi kukuelewa so ukitumia neno usaili ndio utaeleweka vzr.So kwasasa wapo kwenye uhakiki wa details zao maana usaili walishafanya kipindi wanaingia jkt uhakiki ukiisha zitaanza kusomwa message kwa wale watakaokuwa wamechaguliwa kwenda RTS.
So wakifika kule RTS sasa ndio watafanya usaili wa vyeti na vipimo upya,inasemekana kuwa mwez wa 6 mwishoni mpka mwez wa Saba hapo katikati ndio wataanza kwenda kuripoti RTS.
Kambi ya jkt hawapimi afya watakutana nayo
Nadhan wote watapimwa afya RTS....ila ngoja waje wajuzi ZaidNa wale waliopo mtaani inakuaje sasa?
Huyo asubiri kwanza…ahenye kidogo hata miaka miwili hivi.mdog wang yupo jkt kazaa mwaka jana mwishon atatoboa kwel kweny huu mkeka
🥴🥴🥴mdog wang yupo jkt kazaa mwaka jana mwishon atatoboa kwel kweny huu mkeka
Mkuu Unataka sema saiv ukiwa na mtu mzito unaweza tokea uraiani ukaingia kozi RTS ?Huyo asubiri kwanza…ahenye kidogo hata miaka miwili hivi.
Kama anaMBANGA, atatoboa [emoji16]
Unauliza majibu🤣Mkuu Unataka sema saiv ukiwa na mtu mzito unaweza tokea uraiani ukaingia kozi RTS ?