Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Kwani jakata inauhusiano gani na JW mkuu..??

Kozi za majeshi zinajitegemea, ndio maana JW kuna kipindi wanaenda kuchukua madokta vyuoni, ambao hawaijui jakata, mwisho wa siku wanakula bakabaka…[emoji16]
Ahaa apo unyama mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…