Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mbanga hapokei simu vipi hela yako ameshakula au bado
Mkuu maswala ya fedha ndio kitu cha kwanza ambacho hawa mibanga wanakihitaji.
Tena kama ukiwa bado hujatoa hela anakua anakutafuta tafuta muda wote kukuambia kua muda umeisha na nafasi ni chache mno, kwahyo unavyozidi kuchelewa na ndio unavyozidi kukosa nafasi.
Kwahyo mkuu,Hela nilimpa ila kwa maandikishiano maalum.
 
subirini
 
Mnazingua madogo achaneni na hizi mambo fanyeni kazi zingine.

Hamkifahamu mnacho kitaka laiti mngekijua msingekifukuzia.
 
Mnazingua madogo achaneni na hizi mambo fanyeni kazi zingine.

Hamkifahamu mnacho kitaka laiti mngekijua msingekifukuzia.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ watu wanataka wawe kwenye pay roll, mambo ya uzalendo sijui nini yaende hukooo.
 
Hongera kwa maandikishio kaka ila shahidi alikuwepo kati...
 
Mnazingua madogo achaneni na hizi mambo fanyeni kazi zingine.

Hamkifahamu mnacho kitaka laiti mngekijua msingekifukuzia.
hivi Vitisho Kitambo sana watu tulitishwa kuwa yaaan ukifika rts utakubali kuna maafande wakasema yaan ukimaliza kozi mi naacha kazi ila wapiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ waache Vijana wanataka Kitenge Kila mtu atakivaa kwa kutumia Njia yake usiwakatishe tamaa..
 
Hapa ndo umeongea ukweli mwamba…

Watu wanajikuuuuuuta, wanafanya RTS kama Jehanamu wakati watu ndo walewale tu πŸ˜€
 
Wajuzi wa mambo ni maafande gan hasa huwa wanapewa nafasi hizo kuingiza raia JW??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…