Insider Boy
Senior Member
- Aug 5, 2015
- 189
- 309
Mkuu vipi wew mbanga wako ashachukua force numberWallah nmecheka sanaππππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vipi wew mbanga wako ashachukua force numberWallah nmecheka sanaππππππππππ
Naishi nayo ndani lakini inanizungusha mbayaππMkuu vipi wew mbanga wako ashachukua force number
Now ata bila force Number unatoboa vzr tena now baba kani-send wapo wakushantaaaMkuu vipi wew mbanga wako ashachukua force number
Asante mkuu kwa ufafanuziNow ata bila force Number unatoboa vzr tena now baba kani-send wapo wakushantaaa
Kabisa mkuuTupige Dua nene mkuu
Nondo hii π―Mbanga watapokea simu baada ya skukuu kupita maana hapo ndo watakuwa wanayo tarehe ya kuripoti
πππWakuu leteni lonja,Mbanga hapokei simu.
Asante mkuu kwa kunitia moyoMbanga watapokea simu baada ya skukuu kupita maana hapo ndo watakuwa wanayo tarehe ya kuripoti
Mkuu maswala ya fedha ndio kitu cha kwanza ambacho hawa mibanga wanakihitaji.Mbanga hapokei simu vipi hela yako ameshakula au bado
Mkuu maswala ya fedha ndio kitu cha kwanza ambacho hawa mibanga wanakihitaji.
Tena kama ukiwa bado hujatoa hela anakua anakutafuta tafuta muda wote kukuambia kua muda umeisha na nafasi ni chache mno, kwahyo unavyozidi kuchelewa na ndio unavyozidi kukosa nafasi.
Kwahyo mkuu,Hela nilimpa ila kwa maandikishiano maalum.
πππ watu wanataka wawe kwenye pay roll, mambo ya uzalendo sijui nini yaende hukooo.Mnazingua madogo achaneni na hizi mambo fanyeni kazi zingine.
Hamkifahamu mnacho kitaka laiti mngekijua msingekifukuzia.
Eleza kwa upana mkuu hapo unawaacha vijana njiapandaπ¬Mnazingua madogo achaneni na hizi mambo fanyeni kazi zingine.
Hamkifahamu mnacho kitaka laiti mngekijua msingekifukuzia.
Mkuu em tufafanulie kiupana maana watu tushachoka na ndoige za PSRS kwahyo tumeamua kuwekeza kwenye majeshi yetu.Mnazingua madogo achaneni na hizi mambo fanyeni kazi zingine.
Hamkifahamu mnacho kitaka laiti mngekijua msingekifukuzia.
Hongera kwa maandikishio kaka ila shahidi alikuwepo kati...Mkuu maswala ya fedha ndio kitu cha kwanza ambacho hawa mibanga wanakihitaji.
Tena kama ukiwa bado hujatoa hela anakua anakutafuta tafuta muda wote kukuambia kua muda umeisha na nafasi ni chache mno, kwahyo unavyozidi kuchelewa na ndio unavyozidi kukosa nafasi.
Kwahyo mkuu,Hela nilimpa ila kwa maandikishiano maalum.
hivi Vitisho Kitambo sana watu tulitishwa kuwa yaaan ukifika rts utakubali kuna maafande wakasema yaan ukimaliza kozi mi naacha kazi ila wapiπππ waache Vijana wanataka Kitenge Kila mtu atakivaa kwa kutumia Njia yake usiwakatishe tamaa..Mnazingua madogo achaneni na hizi mambo fanyeni kazi zingine.
Hamkifahamu mnacho kitaka laiti mngekijua msingekifukuzia.
Hapa ndo umeongea ukweli mwambaβ¦hivi Vitisho Kitambo sana watu tulitishwa kuwa yaaan ukifika rts utakubali kuna maafande wakasema yaan ukimaliza kozi mi naacha kazi ila wapiπππ waache Vijana wanataka Kitenge Kila mtu atakivaa kwa kutumia Njia yake usiwakatishe tamaa..
Uchawi ndo huu πMnazingua madogo achaneni na hizi mambo fanyeni kazi zingine.
Hamkifahamu mnacho kitaka laiti mngekijua msingekifukuzia.