Swardolf102
JF-Expert Member
- Apr 6, 2024
- 295
- 320
Sasa mbanga anakuambia tuma barua kama ushahidi kua ulituma maombi Kuna haja gani ya kuchoma nauli mpk Dom.Basi kam ni ivo Hao walipeleka kwa mikono ndo first priority kuliko Barua nyngi hazisomwi ndani ko kam mtu unachance panda tu doma mwenyew
Vp kuhusu cheti cha Jakata au forc number hawaulizi??Wanauliza form six au four,
Then unapanga mstari wa kwanza unajiandikisha kwenye daftari then unapanga foleni ya kuandikishwa kwenye pc,
Na yule anaeandikisha anasema kabisa kama umemletea mtu hakikisha unajua details zake zotee na kuna wazee walikua wanawapelekea watoto wao
Kuna kuingiza tar ya kuzaliwa kwenye pc pale ndio wanakudaka kuna wana walifukuzwaKwamba wa mwenye 30 haingii au ndo mpaka mbaga
Nacho pia wanauliza unaandika kwenye daftari force no yako na pia kwenye pc wanauliza na operation ganiVp kuhusu cheti cha Jakata au forc number hawaulizi??
Vp dogo lako ye kapeleka dodoma au ndo mbanga kamwambia asubir tu kupangiwa sehemu ya kuripoti eidha pwani chuga au zenjiVp kuhusu cheti cha Jakata au forc number hawaulizi??
Mdg wang mi Mzee kasema asitume maombi yoyote sasa na wasiwasi Dogo asije akakosa kuvaa kitenge.. na mimi nataman sana aje uku nimpige doso kidgVp dogo lako ye kapeleka dodoma au ndo mbanga kamwambia asubir tu kupangiwa sehemu ya kuripoti eidha pwani chuga au zenji
Sawa nimekuelewa sasa vp madogo ambao hawajawahi Pitia jax wenyewe Hawaji Rtiesin barua zao wanapokea au wanakataaNacho pia wanauliza unaandika kwenye daftari force no yako na pia kwenye pc wanauliza na operation gani
Khaaa kumbe humu tupo na wakufunzi na hautuambii😎Mdg wang mi Mzee kasema asitume maombi yoyote sasa na wasiwasi Dogo asije akakosa kuvaa kitenge.. na mimi nataman sana aje uku nimpige doso kidg
Hahaha Duuuh mkufunzi wa wap Kaka tupo tu..Khaaa kumbe humu tupo na wakufunzi na hautuambii😎
Kwamba ata mbanga hapa halifanyi kazi sasaKuna kuingiza tar ya kuzaliwa kwenye pc pale ndio wanakudaka kuna wana walifukuzwa
Hata kama mbanga yupo lkn ukicheki watu wanavyotia presha kwamba uspopeleka barua dodoma imekula kwako unakua na waswas wa kukosaMdg wang mi Mzee kasema asitume maombi yoyote sasa na wasiwasi Dogo asije akakosa kuvaa kitenge.. na mimi nataman sana aje uku nimpige doso kidg
Mkuu punguza mteru. Fuata maelekezo ya mbanga wako. Na kama mbanga wako ni tia maji tia maji basi nenda Ngome sio posta.Hata kama mbanga yupo lkn ukicheki watu wanavyotia presha kwamba uspopeleka barua dodoma imekula kwako unakua na waswas wa kukosa
Hahaha mkuu mi npo benchi tangia mwaka Jana bogi la oljoro lilivopigwa azwea sina mteru najaribu tu kujenga hoja maana humu watu wanaosoma hzi quotes ni wengi na wengine hawana hzo habarMkuu punguza mteru. Fuata maelekezo ya mbanga wako. Na kama mbanga wako ni tia maji tia maji basi nenda Ngome sio posta.
Andika kwenye barua mwishoni baada ya sahihi na jina lakoWakuu samahani hivi apa waliposema kuambatanisha namba ya simu ya mkononi ikiandikwa kwenye anuani tu inatosha au kuna namna yake inatakiwa.
NB: hii ndo mara yangu ya kwanza kutuma maombi ya kazi bila CVView attachment 3059658
Shukrani kakaAndika kwenye barua mwishoni baada ya sahihi na jina lako
Walikuepo pale,Sawa nimekuelewa sasa vp madogo ambao hawajawahi Pitia jax wenyewe Hawaji Rtiesin barua zao wanapokea au wanakataa
Mbanga ukiwa nae wanakuandikisha chap hupangi ata foleniKwamba ata mbanga hapa halifanyi kazi sasa
Mimi niliandika kwenye karatasi wakanambia ukiandika kwenye barua tu inatoshaWakuu samahani hivi apa waliposema kuambatanisha namba ya simu ya mkononi ikiandikwa kwenye anuani tu inatosha au kuna namna yake inatakiwa.
NB: hii ndo mara yangu ya kwanza kutuma maombi ya kazi bila CVView attachment 3059658
Hamna kitu hiko tumia EMS zinapelekwa na wenyewe watu wa postaShida waloenda wanatutia jambajamba kwamba za posta hazpokelewi