Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Wanauliza form six au four,
Then unapanga mstari wa kwanza unajiandikisha kwenye daftari then unapanga foleni ya kuandikishwa kwenye pc,
Na yule anaeandikisha anasema kabisa kama umemletea mtu hakikisha unajua details zake zotee na kuna wazee walikua wanawapelekea watoto wao
Vp kuhusu cheti cha Jakata au forc number hawaulizi??
 
Vp dogo lako ye kapeleka dodoma au ndo mbanga kamwambia asubir tu kupangiwa sehemu ya kuripoti eidha pwani chuga au zenji
Mdg wang mi Mzee kasema asitume maombi yoyote sasa na wasiwasi Dogo asije akakosa kuvaa kitenge.. na mimi nataman sana aje uku nimpige doso kidg
 
Nacho pia wanauliza unaandika kwenye daftari force no yako na pia kwenye pc wanauliza na operation gani
Sawa nimekuelewa sasa vp madogo ambao hawajawahi Pitia jax wenyewe Hawaji Rtiesin barua zao wanapokea au wanakataa
 
Mkuu punguza mteru. Fuata maelekezo ya mbanga wako. Na kama mbanga wako ni tia maji tia maji basi nenda Ngome sio posta.
Hahaha mkuu mi npo benchi tangia mwaka Jana bogi la oljoro lilivopigwa azwea sina mteru najaribu tu kujenga hoja maana humu watu wanaosoma hzi quotes ni wengi na wengine hawana hzo habar
 
Wakuu samahani hivi apa waliposema kuambatanisha namba ya simu ya mkononi ikiandikwa kwenye anuani tu inatosha au kuna namna yake inatakiwa.

NB: hii ndo mara yangu ya kwanza kutuma maombi ya kazi bila CV
IMG_20240802_153552.jpeg
 
Back
Top Bottom