Mjukuu wa taifa
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 489
- 458
kwamba mapot wana watu wao??oyaaa wanajeshi wenyewe wanatoa hela kwa wakubwa tutapata kweli😂😂
Hio mbn iko wazikwamba mapot wana watu wao??
Sio makao tu ata apo apo rtiesin mtaona wenyew afu msiwe na presha za safar hii ni nyngi mnoMzee unaambiwa rts majina ni yanatoka makao makuu ko mbanga ni za makao tu watu ndio wanazipiganisha,
Kuna mzee ni mwanajeshi anampiganishia mwanae katoa na hela aseeh nimeshtuka😂😂😂
Kunywa maji mengi, utulivu unahitajika sana hapa, tatizo roporopo nyingi sana, madogo mteru mwingikwamba mapot wana watu wao??
Acha mteru boyoyaaa wanajeshi wenyewe wanatoa hela kwa wakubwa tutapata kweli😂😂
Mteru babaa😂😂Kunywa maji mengi, utulivu unahitajika sana hapa, tatizo roporopo nyingi sana, madogo mteru mwingi
We ndio umenena mkuu watu waweke hii kichwan hapo ndio watu wanaingilia na jina halijapita huko juu😂😂Sio makao tu ata apo apo rtiesin mtaona wenyew afu msiwe na presha za safar hii ni nyngi mno
Mkuu mbona kama vile ushapita rts au upo ukoSio makao tu ata apo apo rtiesin mtaona wenyew afu msiwe na presha za safar hii ni nyngi mno
Amna Mkuu ni Ronja tu naona majanja wanataka Doso kwa nguvu... Tuwaache wataona wenyew afu ukiwa na mbanga usiwaze ata 33years utaingia Lakn tifu litakukimbiza lenyeweMkuu mbona kama vile ushapita rts au upo uko
Waniue tu! Siku hizi nakula ugali wa dona/ulezi miksa ya togwa na matunda ya kutosha. Hizo nguzo za umeme ziniue tu mitaa ishakuwa jau hiiAmna Mkuu ni Ronja tu naona majanja wanataka Doso kwa nguvu... Tuwaache wataona wenyew afu ukiwa na mbanga usiwaze ata 33years utaingia Lakn tifu litakukimbiza lenyewe
Hahaha mwaka .... Tulikuwa sehm fulani walijitokeza kama wew mimi nitafia apa apa within 1week watu walikuwa wanaanguka kama kifafa akat walikuja n mbwembwe kibao wanatembea adi juu ya kamba 🤣🤣Waniue tu! Siku hizi nakula ugali wa dona/ulezi miksa ya togwa na matunda ya kutosha. Hizo nguzo za umeme ziniue tu mitaa ishakuwa jau hii
🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha mwaka .... Tulikuwa sehm fulani walijitokeza kama wew mimi nitafia apa apa within 1week watu walikuwa wanaanguka kama kifafa akat walikuja n mbwembwe kibao wanatembea adi juu ya kamba 🤣🤣
Mzee ushatumiwa sms mara hii?Wakuu naombeni mnitajie vitu vya kwenda navyo ninunue kabisa. Mambo yasiwe mengi pale orj
HahahahahahaMzee ushatumiwa sms mara hii?
Kijana una moto sana na bakabakaMzee ushatumiwa sms mara hii?
Au mwenzetu uhakika 100%?Kijana una moto sana na bakabaka
Au mwenzetu uhakika 100%?
Nisubirie sms ya nn wakuu..?Kijana una moto sana na bakabaka