Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

Mzee unaambiwa rts majina ni yanatoka makao makuu ko mbanga ni za makao tu watu ndio wanazipiganisha,
Kuna mzee ni mwanajeshi anampiganishia mwanae katoa na hela aseeh nimeshtuka😂😂😂
Sio makao tu ata apo apo rtiesin mtaona wenyew afu msiwe na presha za safar hii ni nyngi mno
 
Waniue tu! Siku hizi nakula ugali wa dona/ulezi miksa ya togwa na matunda ya kutosha. Hizo nguzo za umeme ziniue tu mitaa ishakuwa jau hii
Hahaha mwaka .... Tulikuwa sehm fulani walijitokeza kama wew mimi nitafia apa apa within 1week watu walikuwa wanaanguka kama kifafa akat walikuja n mbwembwe kibao wanatembea adi juu ya kamba 🤣🤣
 
Back
Top Bottom