Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

JW hamna simu wala nn ukiwa kikosini unaitwa tuu ofisini uondoke ukaripoti na ukiwa mtaani ndugu yako aliekufanyia mchongo atakupa taarifa.Ajira za jw ni michongo tu 99.99% kama una connection tunza damu karibuni tuu wanachukua tena kimyakimya. sisi watoto wa maskini walitudanganya kwa kutangaza kumbe ni sìasa
 
Ukweli mtupu 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…