😂😂😂😂Mbuyu wangu 😂😂😂 dah nimecheka kifala,unajua nni kaka hakuna kazi tz utapta bila kutoa pesa kwa sasa,hakuna tusidanganyane,muhimu kma una mbaga wako unae fatlia taarifa anazokupa ni sahihi ni za uhakika?? Muhimu uwe na mbaga ambae yupo ngome kabsa pale,lkn unakuta mbaga yupo dar kila siku anakupiga sound,kingne unasema mtu asitoe hela,mim mbuyu Wang ulnmbia nimtumie chet cha la 7 haraka,saa ukimtumia cheti hela yakuprint atoe hela yake?? Hela ya kwenda stationary pia aende kwa miguu,ko unakuta unamungzia hta 40,50 maana sio mtoto yule umtumie elfu 5 umwambie "buku lakuprint bku 2 ya boda" tuwe serious jaman ktk masuala yakutafta maisha.