masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Ila kama ukwel nikufate dmMbuyu wangu kaka
Utasubir sana huo uhakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kama ukwel nikufate dmMbuyu wangu kaka
Utasubir sana huo uhakika
😂😂 Wewe ndo unajua kaka ukifika kule wao hawajui,wanakupgia mruzi "fyuuuu" unatembea mbeleMh had vyet vya lasaba tulio maliza la Saba 2015 vyet vyetu havipogo na hata wao wanajuaga kabsa yaan
😛😝😝😝😝 Kwamba ni filimbi tyu fyuuu ni kizubaa natoka kwa mwendo mbaya hahahaah😂😂 Wewe ndo unajua kaka ukifika kule wao hawajui,wanakupgia mruzi "fyuuuu" unatembea mbele
Sio kwamba Nina uhakika 100 per na mbuy wangu sema Nina iman nae.Ila kama ukwel nikufate dm
Aaaaaaaah fyuuuuuuh....sem vya 2015 wengin tulipata😂😂 Wewe ndo unajua kaka ukifika kule wao hawajui,wanakupgia mruzi "fyuuuu" unatembea mbele
😂😂😂😂 Noma Kaka,mruzi tuuu😛😝😝😝😝 Kwamba ni filimbi tyu fyuuu ni kizubaa natoka kwa mwendo mbaya hahahaah
😂😂😂😂Kaka mbona mapema sanaHakuna tajiri aliyeajiriwa
Sema nn kule mwanangu bila maelekezo maana mm 2022 kweny usahili wa military science kizembe tyu niliondoshwa duh😂😂😂😂 Noma Kaka,mruzi tuuu
Mbuyu mm ninao uhakika sema mm mwenyew sina pa kuupatia. Mana mwaka huu toka januari nimekutana nao mara moja tu 🤣Kama ya ukweli at 2M nitatoa Ila baada ya uhakika
Wewe ni tapeli mkubwa ,,, mtu akiamua kukusaidia hawezi kukuomba ela na anajua wewe ni joblessMbuyu wangu kaka
Utasubir sana huo uhakika
Sio Tanzania hii brooohWewe ni tapeli mkubwa ,,, mtu akiamua kukusaidia hawezi kukuomba ela na anajua wewe ni jobless
😂😂😂😂Mbuyu mm ninao uhakika sema mm mwenyew sina pa kuupatia. Mana mwaka huu toka januari nimekutana nao mara moja tu 🤣
Usimtuhumu mkuu, mana huwez jua mzee yeye hajalazimisha kumsaidia mtu. Mbanga wa bila hela mara nyingi wanakuaga ndugu au hata umlipe kias gani ni kidogo sana kwa level zake. So atakubali dua hela atakuachia tuWewe ni tapeli mkubwa ,,, mtu akiamua kukusaidia hawezi kukuomba ela na anajua wewe ni jobless
Dada unakwenda kutapeliwaa 😂😂utatuletea ushahidIla kama ukwel nikufate dm
Wakaleta uswahili kwamba tukishafanikiwa tutakupatia....mzee akapiga Buti chini.......jina fyuuuuuuuuuuuuh😂Usaili WA polisi Tu mtu aliambiwa atoe laki tano
Kwan nilienda kule MSATA Nikakaa kule alafu nikazamia kule kambini vp hapoDada unakwenda kutapeliwaa 😂😂utatuletea ushahid
'tyu' ndio nini?! JW wana haki ya kukutimua kabisa.Sema nn kule mwanangu bila maelekezo maana mm 2022 kweny usahili wa military science kizembe tyu niliondoshwa duh