Ni lini serikali itaacha uzembe huu? Hii ni selfie wala siyo uokoaji

Kwa sababu wewe ni hai leo ndo unapata kiburi cha uzima kusema hayo
Watu wapo ndani ya Tope na wapo humo kwa zaidi ya saa 48,what would you do?, hapo ni kuzitoa Maiti kwa staha na heshima na kuzisitiri. RIPs all, poleni wafiwa.
 
Watu wapo ndani ya Tope na wapo humo kwa zaidi ya saa 48,what would you do?, hapo ni kuzitoa Maiti kwa staha na heshima na kuzisitiri. RIPs all, poleni wafiwa.
Kwahiyo kama watu wako ndani ya tope kwa masaa 48 waokoaji wanapaswa kwenda kupiga selfie kwenye mapaa ya nyumba?
 
Bisha kwa hoja, acha maneno ya khanga.

Mdau kaandika matukio na jinsi uokozi ulivyokuwa.

ACHA POROJO KWENYE MAMBO YA MSINGI KWA TAIFA.


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Zingatia matukio yametokea katika SCENERIO TOFAUTI HAYAFANANI..... lingetokea kama la precious tungewatukana.
 
Nashauri kuliko wauze sura hapo eneo la tukio na hawawezi kuopoa miili kutokana na maelezo yako, warudi kwenye maeneo Yao ya kuchukulia rushwa, wasubiri Hadi siku pakikauka wakatoe miili kwa mazishi.
 
Serikali haina utayali kwenye maafa hata kidogo na wameendelea kutokua tayali tangu zamani hadi sasa, licha ya kupata funzo kwenye matukio na ajali mbali mbali lakini hadi sasa bado kikosi cha uokoaji hakina tofauti na bongo movie, hawana vifaa vya kisasa na vya kutosha kufanya uokoaji lakini pia nina wasiwasi na mafunzo yao kutokana na mambo wanayofanya kwenye uokoaji, lakini pia hawana utayali tukio linatokea alafu wanafika masaa mengi Sana baadae

Wakulaumiwa ni serikali kwa sababu wao ndio wanapaswa kuandaa vijana na vifaa vya kisasa na vya kutosha kwa ajili ya lolote litakalo tokea sehemu yoyote ndani ya Tanzania, kama wanaweza kuwapa ma V8 ya gharama viongozi wao basi hawashindwi kununua vifaa na kutengeneza vijana wenye uwezo mkubwa, waache hizi habari za kwenda eneo la tukio na ma camera mengi na kujitia unafki wa kusikitishwa na kilicho tokea
 
Wewe unatukuza na kusherehekea maafa kisisaa kututukana wana Manyara. Haya ni maafa yanakupata usiotegemea la sivyo ungejiandaa. Hakika huipendi Nji hii, endelea tu kutafuta tumehuru muombe shangazi awe Chaiperson askofuatupele mwamasika awe makamo wake genderbalance.
 
Kwani weye ndiye uliyekuwa darin?hao unaowataja wamehusikaje na kupiga kwako selfie πŸ€ͺ
 
Wavuvi akina Majaliwa wakajizolea umaarufu kwa kuvunjq dirisha la ndege na kusababisha maji kuingia na kuua abiria 19. Uzembe wa serikali ya ccm.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…