Ni lini serikali itaacha uzembe huu? Hii ni selfie wala siyo uokoaji

Ni lini serikali itaacha uzembe huu? Hii ni selfie wala siyo uokoaji

Watu wapo ndani ya Tope na wapo humo kwa zaidi ya saa 48,what would you do?, hapo ni kuzitoa Maiti kwa staha na heshima na kuzisitiri. RIPs all, poleni wafiwa.
Hakuna neno litakalojustify kauli zako za fedheha kuhusu tukio hili.

Naomba kufahamu, ni lini na wapi serikali iliendesha mafunzo ya namna ya kujiokoa na majanga kwa wananchi. Kuna vitu vinaweza kufanyikana kupunguza madhara during disasters.....
 
Mwaka 1995 MV Bukoba ilizama baada ya kuelea kwa masaa 7. Ndipo waokoaji feki wakaja na wazo la kuitoboa meli, maji yakaingia na watu zaidi ya 800 wakafariki. Uzembe wa serikali ya CCM.

2011 meli ya Spice Island ilizama kwenye mkondo wa Nungwi lkn mifumo ya taarifa za usalama wa vyombo vya majini ya nchi zote 2 (Zanzibar na Tanganyika) haikuweza kujua mpk pale Al Jazeera ilipotangaza masaa 11 tangu meli kuzama. Kati ya abiria 610 ni 250 tu ndiyo waliookolewa. Uzembe wa serikali ya CCM.

2022 ndege ya shirika la Precision Air ilipata ajali na kuanguka ziwa Victoria . Waokoaji wwaliopata mafunzo wakawa nchi kavu wanaivuta ndege kwa kamba, wanaogopa kuingia kwenye maji.

Wavuvi akina Majaliwa wakajizolea umaarufu kwa kuvunjq dirisha la ndege na kusababisha maji kuingia na kuua abiria 19. Uzembe wa serikali ya ccm.

Kinachoendelea Hanang ni kupiga selfie wala siyo uokoaji. Ni muendelezo wa uzembe ule ule uliyofanywa kwenye majanga ya nyuma.

Upuuzi huu hautaisha hapa bongo.yanapotokea majanga watu hugeuza promo
 
Mwaka 1995 MV Bukoba ilizama baada ya kuelea kwa masaa 7. Ndipo waokoaji feki wakaja na wazo la kuitoboa meli, maji yakaingia na watu zaidi ya 800 wakafariki. Uzembe wa serikali ya CCM.

2011 meli ya Spice Island ilizama kwenye mkondo wa Nungwi lkn mifumo ya taarifa za usalama wa vyombo vya majini ya
Acha ujuaji, unataka watembee ndani ya tope, wewe haupo eneo la tukio haukui lisa cha hao kupanda juu ya paa, unaleta ujuaji.
 
Lete wazo, wameshafariki wako ndani ya Tope, nini kifanyike?, hapo Pana kina cha mita 5 cha Tope, chadomo wanasema helicopter zije, pia baadhi ya nyumbu wanashauri magreda yapekuwa yakiziharibu Maiti itakuwaje, hebu lete wazo chadema wewe labda wazo lako likasaidia maana taasisi za uokozi pia zinasoma hapa! 😁
Jinga kabisa wewe. Unauliza mawazo kutoka kwa raia? Serikali iko kufanya nini? Idiot on the run..
 
Mwaka 1995 MV Bukoba ilizama baada ya kuelea kwa masaa 7. Ndipo waokoaji feki wakaja na wazo la kuitoboa meli, maji yakaingia na watu zaidi ya 800 wakafariki. Uzembe wa serikali ya CCM.

2011 meli ya Spice Island ilizama kwenye mkondo wa Nungwi lkn mifumo ya taarifa za usalama wa vyombo vya majini ya nchi zote 2 (Zanzibar na Tanganyika) haikuweza kujua mpk pale Al Jazeera ilipotangaza masaa 11 tangu meli kuzama. Kati ya abiria 610 ni 250 tu ndiyo waliookolewa. Uzembe wa serikali ya CCM.

2022 ndege ya shirika la Precision Air ilipata ajali na kuanguka ziwa Victoria . Waokoaji wwaliopata mafunzo wakawa nchi kavu wanaivuta ndege kwa kamba, wanaogopa kuingia kwenye maji.

Wavuvi akina Majaliwa wakajizolea umaarufu kwa kuvunjq dirisha la ndege na kusababisha maji kuingia na kuua abiria 19. Uzembe wa serikali ya ccm.

Kinachoendelea Hanang ni kupiga selfie wala siyo uokoaji. Ni muendelezo wa uzembe ule ule uliyofanywa kwenye majanga ya nyuma.

Wewe upo eneo la tukio au hiyo picha inayoonyesha au Askari walio juu ya paa ndio kielelezo chako?
 
Hakuna neno litakalojustify kauli zako za fedheha kuhusu tukio hili.

Naomba kufahamu, ni lini na wapi serikali iliendesha mafunzo ya namna ya kujiokoa na majanga kwa wananchi. Kuna vitu vinaweza kufanyikana kupunguza madhara during disasters.....
Serekali yetu haina budi kuacha kuwachekea watu ambao wanaishi katika maeneo hatarishi, 1.mabondeni 2.chini ya miteremko ya milima 3. Kuishi karibu na maeneo ambayo yana volcano tuli, 4. Maeneo ambayo yana mapito ya maji hata kama maji hayajapita hapo kwa miaka 50,kwani ipo siku yatapita tena katika njia yake ya asili.
 
Ni aibu kubwa habari zinasema waokoaji wanaogopa kuzama kwenye tope kwa hiyo ni kama hakuna uokoaji bali utoaji wa maiti matopeni
 
KABLA YA KUANZA UOKOZI WAOKOAJI NI LAZIMA WAYASOME MAZINGIRA TOPE SIO MAJI YA KUPIGA MBIZI. 😁😁😁
 
Mwaka 1995 MV Bukoba ilizama baada ya kuelea kwa masaa 7. Ndipo waokoaji feki wakaja na wazo la kuitoboa meli, maji yakaingia na watu zaidi ya 800 wakafariki. Uzembe wa serikali ya CCM.

2011 meli ya Spice Island ilizama kwenye mkondo wa Nungwi lkn mifumo ya taarifa za usalama wa vyombo vya majini ya nchi zote 2 (Zanzibar na Tanganyika) haikuweza kujua mpk pale Al Jazeera ilipotangaza masaa 11 tangu meli kuzama. Kati ya abiria 610 ni 250 tu ndiyo waliookolewa. Uzembe wa serikali ya CCM.

2022 ndege ya shirika la Precision Air ilipata ajali na kuanguka ziwa Victoria . Waokoaji wwaliopata mafunzo wakawa nchi kavu wanaivuta ndege kwa kamba, wanaogopa kuingia kwenye maji.

Wavuvi akina Majaliwa wakajizolea umaarufu kwa kuvunjq dirisha la ndege na kusababisha maji kuingia na kuua abiria 19. Uzembe wa serikali ya ccm.

Kinachoendelea Hanang ni kupiga selfie wala siyo uokoaji. Ni muendelezo wa uzembe ule ule uliyofanywa kwenye majanga ya nyuma.

Usahihi kidogo:
Ajali ya Mv Bukoba ilikuwa mwaka 1996.
 
Serekali yetu haina budi kuacha kuwachekea watu ambao wanaishi katika maeneo hatarishi, 1.mabondeni 2.chini ya miteremko ya milima 3. Kuishi karibu na maeneo ambayo yana volcano tuli, 4. Maeneo ambayo yana mapito ya maji hata kama maji hayajapita hapo kwa miaka 50,kwani ipo siku yatapita tena katika njia yake ya asili.
Uzuri ni kwamba serikali inapeleka vituo vya kupigia Kura maeneo hayo pia.

Unaitaka serikali ipi ifanye hayo?
 
Lete wazo, wameshafariki wako ndani ya Tope, nini kifanyike?, hapo Pana kina cha mita 5 cha Tope, chadomo wanasema helicopter zije, pia baadhi ya nyumbu wanashauri magreda yapekuwa yakiziharibu Maiti itakuwaje, hebu lete wazo chadema wewe labda wazo lako likasaidia maana taasisi za uokozi pia zinasoma hapa! 😁
Sawa inawezekana CHADEMA ni wahuni, lakini kwenye matatizo ya kitaifa tujaribu kuweka pembeni itikadi na unazi uchwara
 
Livunjwe, kuwe na kitengo jeshini au JKT/SUMA they will do better. Wanajeshi si wapo na vita hamna why not take the chance?....
Ninadhani kila Halmashauri ipewe kitengo cha maafa na uokoaji na kiwezeshwe vifaa na wataalamu kulingana na mahitaji ya Halmashauri husika na kulingana na jiografia yake.

Hili la kusubiri wataalamu kutoka Serikali Kuu inaleta urasimu usiyo na tija
 
Mwaka 1995 MV Bukoba ilizama baada ya kuelea kwa masaa 7. Ndipo waokoaji feki wakaja na wazo la kuitoboa meli, maji yakaingia na watu zaidi ya 800 wakafariki. Uzembe wa serikali ya CCM.

2011 meli ya Spice Island ilizama kwenye mkondo wa Nungwi lkn mifumo ya taarifa za usalama wa vyombo vya majini ya nchi zote 2 (Zanzibar na Tanganyika) haikuweza kujua mpk pale Al Jazeera ilipotangaza masaa 11 tangu meli kuzama. Kati ya abiria 610 ni 250 tu ndiyo waliookolewa. Uzembe wa serikali ya CCM.

2022 ndege ya shirika la Precision Air ilipata ajali na kuanguka ziwa Victoria . Waokoaji wwaliopata mafunzo wakawa nchi kavu wanaivuta ndege kwa kamba, wanaogopa kuingia kwenye maji.

Wavuvi akina Majaliwa wakajizolea umaarufu kwa kuvunjq dirisha la ndege na kusababisha maji kuingia na kuua abiria 19. Uzembe wa serikali ya ccm.

Kinachoendelea Hanang ni kupiga selfie wala siyo uokoaji. Ni muendelezo wa uzembe ule ule uliyofanywa kwenye majanga ya nyuma.

🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆 Kwa hiyo hapo ndio wanaokoa ama wanapaua nyumba?
 
Back
Top Bottom