Hakuna neno litakalojustify kauli zako za fedheha kuhusu tukio hili.Watu wapo ndani ya Tope na wapo humo kwa zaidi ya saa 48,what would you do?, hapo ni kuzitoa Maiti kwa staha na heshima na kuzisitiri. RIPs all, poleni wafiwa.
Upuuzi huu hautaisha hapa bongo.yanapotokea majanga watu hugeuza promoMwaka 1995 MV Bukoba ilizama baada ya kuelea kwa masaa 7. Ndipo waokoaji feki wakaja na wazo la kuitoboa meli, maji yakaingia na watu zaidi ya 800 wakafariki. Uzembe wa serikali ya CCM.
2011 meli ya Spice Island ilizama kwenye mkondo wa Nungwi lkn mifumo ya taarifa za usalama wa vyombo vya majini ya nchi zote 2 (Zanzibar na Tanganyika) haikuweza kujua mpk pale Al Jazeera ilipotangaza masaa 11 tangu meli kuzama. Kati ya abiria 610 ni 250 tu ndiyo waliookolewa. Uzembe wa serikali ya CCM.
2022 ndege ya shirika la Precision Air ilipata ajali na kuanguka ziwa Victoria . Waokoaji wwaliopata mafunzo wakawa nchi kavu wanaivuta ndege kwa kamba, wanaogopa kuingia kwenye maji.
Wavuvi akina Majaliwa wakajizolea umaarufu kwa kuvunjq dirisha la ndege na kusababisha maji kuingia na kuua abiria 19. Uzembe wa serikali ya ccm.
Kinachoendelea Hanang ni kupiga selfie wala siyo uokoaji. Ni muendelezo wa uzembe ule ule uliyofanywa kwenye majanga ya nyuma.
Acha ujuaji, unataka watembee ndani ya tope, wewe haupo eneo la tukio haukui lisa cha hao kupanda juu ya paa, unaleta ujuaji.Mwaka 1995 MV Bukoba ilizama baada ya kuelea kwa masaa 7. Ndipo waokoaji feki wakaja na wazo la kuitoboa meli, maji yakaingia na watu zaidi ya 800 wakafariki. Uzembe wa serikali ya CCM.
2011 meli ya Spice Island ilizama kwenye mkondo wa Nungwi lkn mifumo ya taarifa za usalama wa vyombo vya majini ya
itume mkuuKuna picha ya Wazee wa MUTUKULA ...credit kwao....hao wengine unanijuwa mimi nani...
Jinga kabisa wewe. Unauliza mawazo kutoka kwa raia? Serikali iko kufanya nini? Idiot on the run..Lete wazo, wameshafariki wako ndani ya Tope, nini kifanyike?, hapo Pana kina cha mita 5 cha Tope, chadomo wanasema helicopter zije, pia baadhi ya nyumbu wanashauri magreda yapekuwa yakiziharibu Maiti itakuwaje, hebu lete wazo chadema wewe labda wazo lako likasaidia maana taasisi za uokozi pia zinasoma hapa! π
Wewe upo eneo la tukio au hiyo picha inayoonyesha au Askari walio juu ya paa ndio kielelezo chako?Mwaka 1995 MV Bukoba ilizama baada ya kuelea kwa masaa 7. Ndipo waokoaji feki wakaja na wazo la kuitoboa meli, maji yakaingia na watu zaidi ya 800 wakafariki. Uzembe wa serikali ya CCM.
2011 meli ya Spice Island ilizama kwenye mkondo wa Nungwi lkn mifumo ya taarifa za usalama wa vyombo vya majini ya nchi zote 2 (Zanzibar na Tanganyika) haikuweza kujua mpk pale Al Jazeera ilipotangaza masaa 11 tangu meli kuzama. Kati ya abiria 610 ni 250 tu ndiyo waliookolewa. Uzembe wa serikali ya CCM.
2022 ndege ya shirika la Precision Air ilipata ajali na kuanguka ziwa Victoria . Waokoaji wwaliopata mafunzo wakawa nchi kavu wanaivuta ndege kwa kamba, wanaogopa kuingia kwenye maji.
Wavuvi akina Majaliwa wakajizolea umaarufu kwa kuvunjq dirisha la ndege na kusababisha maji kuingia na kuua abiria 19. Uzembe wa serikali ya ccm.
Kinachoendelea Hanang ni kupiga selfie wala siyo uokoaji. Ni muendelezo wa uzembe ule ule uliyofanywa kwenye majanga ya nyuma.
Serekali yetu haina budi kuacha kuwachekea watu ambao wanaishi katika maeneo hatarishi, 1.mabondeni 2.chini ya miteremko ya milima 3. Kuishi karibu na maeneo ambayo yana volcano tuli, 4. Maeneo ambayo yana mapito ya maji hata kama maji hayajapita hapo kwa miaka 50,kwani ipo siku yatapita tena katika njia yake ya asili.Hakuna neno litakalojustify kauli zako za fedheha kuhusu tukio hili.
Naomba kufahamu, ni lini na wapi serikali iliendesha mafunzo ya namna ya kujiokoa na majanga kwa wananchi. Kuna vitu vinaweza kufanyikana kupunguza madhara during disasters.....
Hapa hakuna serekali we just quiz ourselves, according to situations! #Idiot!Jinga kabisa wewe. Unauliza mawazo kutoka kwa raia? Serikali iko kufanya nini? Idiot on the run..
Usahihi kidogo:Mwaka 1995 MV Bukoba ilizama baada ya kuelea kwa masaa 7. Ndipo waokoaji feki wakaja na wazo la kuitoboa meli, maji yakaingia na watu zaidi ya 800 wakafariki. Uzembe wa serikali ya CCM.
2011 meli ya Spice Island ilizama kwenye mkondo wa Nungwi lkn mifumo ya taarifa za usalama wa vyombo vya majini ya nchi zote 2 (Zanzibar na Tanganyika) haikuweza kujua mpk pale Al Jazeera ilipotangaza masaa 11 tangu meli kuzama. Kati ya abiria 610 ni 250 tu ndiyo waliookolewa. Uzembe wa serikali ya CCM.
2022 ndege ya shirika la Precision Air ilipata ajali na kuanguka ziwa Victoria . Waokoaji wwaliopata mafunzo wakawa nchi kavu wanaivuta ndege kwa kamba, wanaogopa kuingia kwenye maji.
Wavuvi akina Majaliwa wakajizolea umaarufu kwa kuvunjq dirisha la ndege na kusababisha maji kuingia na kuua abiria 19. Uzembe wa serikali ya ccm.
Kinachoendelea Hanang ni kupiga selfie wala siyo uokoaji. Ni muendelezo wa uzembe ule ule uliyofanywa kwenye majanga ya nyuma.
We have a lot of them. Hili jeshi la zimamoto na uokozi libinafsishwe.They aren't well trained. Ghost workers.
Livunjwe, kuwe na kitengo jeshini au JKT/SUMA they will do better. Wanajeshi si wapo na vita hamna why not take the chance?....We have a lot of them. Hili jeshi la zimamoto na uokozi libinafsishwe.
Uzuri ni kwamba serikali inapeleka vituo vya kupigia Kura maeneo hayo pia.Serekali yetu haina budi kuacha kuwachekea watu ambao wanaishi katika maeneo hatarishi, 1.mabondeni 2.chini ya miteremko ya milima 3. Kuishi karibu na maeneo ambayo yana volcano tuli, 4. Maeneo ambayo yana mapito ya maji hata kama maji hayajapita hapo kwa miaka 50,kwani ipo siku yatapita tena katika njia yake ya asili.
Sawa inawezekana CHADEMA ni wahuni, lakini kwenye matatizo ya kitaifa tujaribu kuweka pembeni itikadi na unazi uchwaraLete wazo, wameshafariki wako ndani ya Tope, nini kifanyike?, hapo Pana kina cha mita 5 cha Tope, chadomo wanasema helicopter zije, pia baadhi ya nyumbu wanashauri magreda yapekuwa yakiziharibu Maiti itakuwaje, hebu lete wazo chadema wewe labda wazo lako likasaidia maana taasisi za uokozi pia zinasoma hapa! π
Ninadhani kila Halmashauri ipewe kitengo cha maafa na uokoaji na kiwezeshwe vifaa na wataalamu kulingana na mahitaji ya Halmashauri husika na kulingana na jiografia yake.Livunjwe, kuwe na kitengo jeshini au JKT/SUMA they will do better. Wanajeshi si wapo na vita hamna why not take the chance?....
NAKAZIA [emoji419][emoji375]Hii nchi ili laaniwa
πππππππ Kwa hiyo hapo ndio wanaokoa ama wanapaua nyumba?Mwaka 1995 MV Bukoba ilizama baada ya kuelea kwa masaa 7. Ndipo waokoaji feki wakaja na wazo la kuitoboa meli, maji yakaingia na watu zaidi ya 800 wakafariki. Uzembe wa serikali ya CCM.
2011 meli ya Spice Island ilizama kwenye mkondo wa Nungwi lkn mifumo ya taarifa za usalama wa vyombo vya majini ya nchi zote 2 (Zanzibar na Tanganyika) haikuweza kujua mpk pale Al Jazeera ilipotangaza masaa 11 tangu meli kuzama. Kati ya abiria 610 ni 250 tu ndiyo waliookolewa. Uzembe wa serikali ya CCM.
2022 ndege ya shirika la Precision Air ilipata ajali na kuanguka ziwa Victoria . Waokoaji wwaliopata mafunzo wakawa nchi kavu wanaivuta ndege kwa kamba, wanaogopa kuingia kwenye maji.
Wavuvi akina Majaliwa wakajizolea umaarufu kwa kuvunjq dirisha la ndege na kusababisha maji kuingia na kuua abiria 19. Uzembe wa serikali ya ccm.
Kinachoendelea Hanang ni kupiga selfie wala siyo uokoaji. Ni muendelezo wa uzembe ule ule uliyofanywa kwenye majanga ya nyuma.