Ni maadili gani aliyobomoa Zuchu katika shoo yake mpaka wamfungie kufanya mziki Zanzibar pamoja na kulipa faini?

Sasa mbona aliomba msamaha kabla ya kufungiwa, ina maana anajua mwenyewe alichokusudia. Lakini ww shabiki andazi unacomplain utasema ndio meneja wake.
 
Mkiendelea kuwaachia na ujinga wao kuna siku wataenda kuwekana mbele ya jukwaa na huyo mwehu mwenzie.

Mtu una wazazi wako hai kabisa unatamkaje hivyo mbele za watu? Mi sielewi mtu unawezaje kukosa adabu kiasi hicho hata kama ndio usanii.
Zuchu kamuiga mamake matusi
 
Basata wataogopa japo SMZ wapo sahihi kumpiga pin.......hivi vitoto vinaimba matusi tupu ila vinasurvive kwasababu wanasiasa wakubwa wanavitumia
 
Kisu kimepenya kwenye mfupa 😂😂
Kijana wa sinza ndio mambo yenu mnavaa hereni na vibukta bila kusahau kupaka lips shine halafu ni mwendo kinyume na maumbile hivyo lazima utetee…….
Wanakushikisha ukuta ndio maana umejaa chuki na wivu
 
Kuna lugha ya ishara.Aliposema mku akaonyesha kwa ishara anamaanisha nini.
Angeimba mku halafu akaonyesha ishara ya mkufu watu wangetafsiri alichomaanisha.
Alionyesha wazi alichomaanisha na ndio sababu ameomba radhi.
Ila kuomba radhi siyo justification ya kuwa umekubali kosa mkuu. Mkuu kuna ile unaona bora yaishe basi unaomba radhi badala ya kuendelea kugombana wakati wajua umeshika wapi na adui kashika wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…