Je una uhakika kwamba ushauri wako utafanya kazi kwa asilimia 100[emoji3][emoji3][emoji3]..basi kila mtu anawaza anavyoona yeye mm ndo ushauri wangu huo hata nikiwa na binti ntahakikisha ana kitu cha kujishikizA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je una uhakika kwamba ushauri wako utafanya kazi kwa asilimia 100[emoji3][emoji3][emoji3]..basi kila mtu anawaza anavyoona yeye mm ndo ushauri wangu huo hata nikiwa na binti ntahakikisha ana kitu cha kujishikizA
SijuiUnatoa ushauri kwa nani?
Mwanaume yoyote anae myanyasa mwanamke katika hali yoyote sio mwanaume mkamilifu . Lakini furaha yangu na naamini ya wengi Ni wakina mama kuamka ,[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Mnataka kuwa abusive hamna jingine..tumeamka
Really?! Inferiority?! Me??Una akili sana! Anaongoza humu..sijui ni inferiority! Anaongoza humu mie aina ya watu wa hvi hapana hata kuinteract nao kbs
Ki uhalisia huo ushauri wako umetoa kutokana experience yako tu, hivyo utasaidia kwako na sio kwa wenzako.[emoji3][emoji3][emoji3]..basi kila mtu anawaza anavyoona yeye mm ndo ushauri wangu huo hata nikiwa na binti ntahakikisha ana kitu cha kujishikizA
RelaxJe una uhakika kwamba ushauri wako utafanya kazi kwa asilimia 100
Jitafakari tu...aliyekuambia nadhani ni mwanaume mwenzako...unasomeka hivyoReally?! Inferiority?! Me??
Inferior towards what?! So in this case me kuongelea bad side ya watu that automatically inanifanya kuwa inferior kwako?!
Mmmmmmhmn
Relax mkuu .haikuhusu pita pembeniKi uhalisia huo ushauri wako umetoa kutokana experience yako tu, hivyo utasaidia kwako na sio kwa wenzako.
📌📌Mwanaume yoyote anae myanyasa mwanamke katika hali yoyote sio mwanaume mkamilifu . Lakini furaha yangu na naamini ya wengi Ni wakina mama kuamka ,[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Unaweza kumsaidia ?[emoji3][emoji3][emoji3]! Yaani ni shida jamani
Anatakiwa Samcezar apate mwanasaikolojia ampe msaada, la sivyo issues zake na wanawake hususan ma single moms itamsambaratisha sana
Miaka ishirini na miwili kibongo bongo bado sana kimaisha, huyu atakuwa A-level au chuo first year amasecond year....Ni ngumu kwake kujua real taste of life.Usipojitambua ukiwa na miaka Ishirini Na mbili jihesabu Safari yako ngumu Sana kimaisha
Hata karibu tu sipendi...mfatilie macho mdiliko comments zake katika nyuzi zozote zile then mwangalie na huyu rapper😀😀!Unaweza kumsaidia ?
Hahahahaa Maya bwanaUzuri mtu ukishamjua ana shida Dawa tayari imepatikana
Mnampuuza tu,hakuna anae jali hizo shit zake zaidi tunamshangaa tu mwenzetu yupo bitter au aliokotwa chooni maana si kawaida[emoji28][emoji28][emoji28]
Mr PerfectReally?! Inferiority?! Me??
Inferior towards what?! So in this case me kuongelea bad side ya watu that automatically inanifanya kuwa inferior kwako?!
Mmmmmmhmn
Umejibiwa unless, usingecomment hapa[emoji2]Relax mkuu .haikuhusu pita pembeni
Relax..hayakuhusu ndo maana unaona ajabuUmejibiwa unless, usingecomment hapa[emoji2]
Heshima kwako madam atakayekupinga atakuwa ana matatizo kiakili umeongea ukweli mtupu!!Ndo nachoweza kuwashauri....wanawake wengi wanakua abusive sana kisa hawana elimu..na wenyewe elimu wananyanyaswa kisa hawana kitu...naishia hapa
Hahahahaa Maya bwana