Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Saafi office yako hoyee huduma 24 hrsniko mbioni mzee, taleta mrejesho
Bora ukate tamaa tu na uzee huo usijevunjika bure πππNimeshakata tamaa ya kujifunza
Missing you moore chalii akeπ€π€π. I miss you
kuna mtu aliniambia ni uoga wa kuumizwa πTuko pamoja
Sikumbuki kama nimewahi kumtamkia kiumbe yoyote nampenda
Kiukweli ni ujinga
Nitaambia nini watu mieπ€£π€£Bora ukate tamaa tu na uzee huo usijevunjika bure πππ
Mimi mbona nipo humu Sana wewe ndio ulipotea au ulikua mazoezini ukijifua ujue kufinyiepo πUlipotelea wapi kijana, ulimisika
ππ Usiwe unapotea SanaMissing you moore chalii akeπ€π€
Pote nitakuvumilia ila hapo pa mwanaume kunyonya zile lambalamba za Bakhresa walaqhi' nasimama kinyume.!!ππKunywa soda moja kwa moja kwenye chupa yake, kula ndizi kwa kuing'ata moja kwa moja baada ya kuitoa maganda, na kula zile ice cream za Bakhresa.
Hivi vyote hunijengea picha fulani kichwani ambayo huwa sikubaliani nayo hata nikiwa sehemu pekeyangu, ingawa kwa wenzangu vinafanyika kirahisi kabisa tena mbele ya kadamnasi.
Sijui Bora tu uache Hilo likupite usijeuabisha ukoo bure ukapostiwa na milard Ayo. Avunjika akijaribu kuifinyia kwa ndani πππNitaambia nini watu mieπ€£π€£
Hiio ilikua ni zamani, enzi za ujanaπMimi mbona nipo humu Sana wewe ndio ulipotea au ulikua mazoezini ukijifua ujue kufinyiepo π
Eeh π€£π€£π€£Sijui Bora tu uache Hilo likupite usijeuabisha ukoo bure ukapostiwa na milard Ayo. Avunjika akijaribu kuifinyia kwa ndani πππ
Unakemea kwa nguvu zote sio?Pote nitakuvumilia ila hapo pa mwanaume kunyonya zile lambalamba za Bakhresa walaqhi' nasimama kinyume.!!ππ
Huna Cha kupoteza sio πHiio ilikua ni zamani, enzi za ujanaπ
Saivi nishazeeka hizo mambo nimeachia wanaochipukia