Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Acha uongo na imagination zako. Alafu mi sio baby boy. Labda hako kajamaa kako ndio kababy boy. Mi mkulungwa wewe. Pumbavu kabisa wewe.Ok sijakulazimisha ukubaliane nami relax baby boy
Kitoto cha mama mkwe asbh asbh umenyimwa tam na mama chanja mbona una kisirani hivi,Acha uongo na imagination zako. Alafu mi sio baby boy. Labda hako kajamaa kako ndio kababy boy. Mi mkulungwa wewe. Pumbavu kabisa wewe.
Haya kuwa na siku njema sister with much love kwako. Bora umeniita mpumbavu kuliko kunidharirisha kwa kuniita "baby boy". 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😃😃😃😃 Baby boy ni hako kajamaa kako kupuuzi.😃😄😁😆😅😀Kitoto cha mama mkwe asbh asbh umenyimwa tam na mama chanja mbona una kisirani hivi,
nguruwe pita sina mkuki mie wewe haramu kwangu... Hiyo pumbavu nakurudishia mwenyewe
Umbea….. kila jion hua sitakiwi kua karibu na simu wala tv, nikuanza kupewa habari za kitaifa na kimataifa, kabla ya kua nae sikuwahi kujua ni mbea kiasi hiki, yan akikosa umbea atanza hata kunipa story za mtoto au wateja wake kazini yan akikosa kabisa ananza kuniletea story za kwenye viseries vya kwenye group zake huko ilimradi aongee tu na kumsikiliza iyo ni lazima sio ombi.
Sasa ukiwa mapajani kwa mama chanja si unakuwa baby boy jamani acha kuwa baridi hivyo hata hupendeziHaya kuwa na siku njema sister with much love kwako. Bora umeniita mpumbavu kuliko kunidharirisha kwa kuniita "baby boy". 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😃😃😃😃 Baby boy ni hako kajamaa kako kupuuzi.😃😄😁😆😅😀
😂😂😂 Wacha bwana!!Basi yaishe mama! Hii ni kauli ya kiume, mwanamke kuongea hivyo ni ukosefu wa adabu.
🤣🤣Wanafanana tabia tu sio mmoja 😂😂usinitoe roho mie,kuna siku alinichosha kulalamika na kunung’unika nikamvuta kichwa nikamuwekea nyonyo mdomoni anyonye Halaf nikawa nambembeleza kama mtoto huku namtikisa alale akalala 😂😂😂😂 last born kibokooo
Kuwahi paja la kuku wakati nisha mwambia ilo ni langu. Saivi ni kuwahiana tu
Brother hizo ndo characters za wanawake aseehhh ...hakuna baya hapooBora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. [emoji1787][emoji23]
Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.
Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.
Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.
Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. [emoji23][emoji1787] Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua [emoji23], sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi
Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu [emoji23]
Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.
Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.
Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.
Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahah mkuu tunasafiri boti moja!
Mimi sasa nimepanga niende kwa fundi anitengenezee draw ndogo yenye lock kwa ajili ya kuweka vitu vyangu vidogo vidogo,jumapili iliyopita nilikuwa home sasa kuna wakati nikahitaji kutumia kalamu nikatafuta zinakokaa nikakosa kuna sehemu kabatini huwa naweka pen ya dharura kwenda kuangalia haipo mara anaenda kuileta kutoka juu ya fridge jikoni.
Na sijui alijuaje kama pana kalamu maana niliificha,socks kupata pair inayofanana ndiyo shughuli zaidi naweza kukaa mwezi sijavaa socks zinazofanana rangi utakuta rangi moja ipo kabatini moja ipo kwenye kamba nje nyengine zimechanganyika kwenye nguo za watoto,ni changamoto sana.
Pole mkuuUmbea….. kila jion hua sitakiwi kua karibu na simu wala tv, nikuanza kupewa habari za kitaifa na kimataifa, kabla ya kua nae sikuwahi kujua ni mbea kiasi hiki, umbea ukiwa mpya napigiwa simu nikiwa kazini niwahi nyumban leo kumbe issue ni umbea tu, yan akikosa umbea atanza hata kunipa story za mtoto au wateja wake kazini yan akikosa kabisa ananza kuniletea story za kwenye viseries vya kwenye group zake huko ilimradi aongee tu na kumsikiliza iyo ni lazima sio ombi.
Pole sana mkuu, mtu mchafu siwezi mvumilia kabisa1. Mvivu sana hata nyumba hafagii yote. N jioni na sebuleni tu. Nguo najifulia mwenyewe. Shuka mpaka uzitoe ndo kwa aibu atafua.
2. Mchafu.
😂Kuwahi paja la kuku wakati nisha mwambia ilo ni langu. Saivi ni kuwahiana tu
Basi yaishe = samahani.Kwani ukisema "I'm sorry" utakatika maini?
Wanawake wanashangaza aisee, mbona mm nikikosea naomba msamaha, wewe unashindwa nn?
Umepewa limbwata c bure1. Mvivu sana hata nyumba hafagii yote. N jioni na sebuleni tu. Nguo najifulia mwenyewe. Shuka mpaka uzitoe ndo kwa aibu atafua.
2. Mchafu.
Inashangaza sanaHili we ndiyo una tatizo. Sasa dawa ya mswaki nayo ni ya kutafuta sehemu ya kuminya!!! Dunia ina mambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]gubu, mwanamke ana gubu kama kitu gani sijui.
kutokukiri kosa. daima yeye ndie anaekosewa.