Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?

Wanasema hakuna watu wambea kama mume na mke wanaopendana, mke wako anakupenda sana
 
Lakin sioni ubaya mtu akiminyia popote πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Acha kujichukulia sheria mkononi na hilo baridi
Huyu naye ni mwanamke na kuna mtu anasema ana mwanamke au mzazi anasema ana binti hapa. Kwa maneno na maandiko yako, inathibitisha kuwa yale uliyoyaandika kuwa madhaifu ya mmeo ni chai. Hakuna mwanamke mwenye mme na mtu mzima anaandika haya uandikayo na pia anataka atumiwe video ya ngono ya mwanamke mwenzie.

Hii inathibitisha ujumbe wanaozungushaga vijana humu kuhusu wanawake wa JF kuwa yaliyo mengi ni ukiwemo na makahaba, yaliyoshindikana, yamezalishwa na kuachwa, yana misongo ya mawazo na mengi ni maathirika sasa yanatumia fake ID kutoa uchungu wao na kuleta imagination zao huku yanajibebisha ili kuwanasa vijana wa hovyo na wenye tamaa. Byeeeeeee we kahaba humipati ngooo. Ushindwe na ulegeee.
 
Hahahahahah huo udhaifu ni positive kwenye maisha yenu. Hongera sana mkuu tatizo ni overdoing it🀣
 
Mkuu kama hachepuki hapa naona kabisa umepata mke mwema ila kwenye hiyo namba moja ndiyo mapungufu tuu hayo mengine ni sifa za mke mwema.

Mwelekeze faida za kupokea simu kwa wakati maana zinaweza zikatokea dharura, asipo kuelewa siku moja nenda hospital ya private toa posho kidogo upewe bed rest na kadrip kauongo jifanyishe unaumwa umelazwa alafu mpe dr simu ampigie.. asipo pokea mpigie kama mara tatu alafu piga kimnya. Baada ya masaa kadhaa asipo rudback piga asipo pokea acha text ya maelekezo ulipo .. hii itakua fundisho kwake.

Ila hakikisha asije akajua ulikua unamchezea mchezo


Nb. UKISHA MALIZA KUMFUNZA KWA VITENDO NENDA KAOMBE TOBA KWA MUNGU WAKO NA AKUEPUSHE NA ROHO ZA MARADHI MAANA KULALIA KITANDA CHA HOSPITAL ILI HALI NI MZIMA NI MBAYA SANA.

MWAMBIE MUNGU NATAKA NI MFUNZE MKE WANGU KWA NJIA HII NISAMEHE ILA PITISHA MARADHI MBALI . AMINA
 
Hahahahahah mke yuko disorganized ndio maana anapoteza vitu hovyo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahaaaaa, bro umenichekesha sana asubuhi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…