Ni mapungufu gani ya mkeo/mumeo umeamua kuishi nayo?


Sijawahi aga naenda wapi wala nitarudi lini au saa ngapi? Ko hata mechi za ugenini zinaponea humo!

Ni mwiko kuniuliza nilikuwa wapi au nimetoka wapi Ko mi hata saa nane usiku nitarudi/kutoka kwangu hilo halina mjadala alishazoe nirudi home nisirudi ye hana noma, simu yangu ni mwiko kuishika au kuhoji ulikuwa unaongea na nani?

Nilichoshindwa ni kumuita mama flani siwezi
Namuita kwa jina lake alishazoea po pote pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…