makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Shukrani mzeeNenda nae hivo hivo mdogo mdogo huku ukimueleza vitu gani upendi atakuelewa tu, wapo wanaume wengine wameoa mke anakawaida ya kutopokea, message hazijibiwi, mzigo anapewa kwa manati, haheshimiwi n.k wakwako ana changamoto za kawaida
Na lile la kale kajamaa kumnyandua mbona hujasema au hilo hauishi naloWakuuu habari za usiku.
Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kitoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.
1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hataahughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms,ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.
2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
3. Kijichanganya na WATU.
4. Ukimkosea hakiulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani Anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.
Haya ndo baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Sio kweli mkuu ,kuna vichwa panzi wengi kwenye ndoa kuliko unavyofikiri.Tunaishi nayo na miaka inasogea.
Hata ukenda leo kumuuliza baba yako yanayozungumzwa humu mama yako baadhi alikuwa anamfanyia na hakumuacha,kuwa mwanandoa ni kuwa na akili timamu huwezi kuwa kichwa panzi ukasema utaishi kwenye ndoa,never!!!
Mmmmmmh.1. Mvivu sana hata nyumba hafagii yote. N jioni na sebuleni tu. Nguo najifulia mwenyewe. Shuka mpaka uzitoe ndo kwa aibu atafua.
2. Mchafu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Mke wako ni mnene?
Anaoga kweli?1. Mvivu sana hata nyumba hafagii yote. N jioni na sebuleni tu. Nguo najifulia mwenyewe. Shuka mpaka uzitoe ndo kwa aibu atafua.
2. Mchafu.
Huyo mie[emoji23][emoji23], kwanza sijirogi kuficha kitu,Kuachaniza vitu ndani,kila mkitaka kitu fulani lazima ianze operation tafuta,iwe kadi ya benki ,kadi ya mtoto ya hospitali,funguo na chochote kile mtatafuta tu.
Ni natural yao[emoji23]Ubishi jamani ubishiiii kwani waha wote lazima muwe wabishii?
Kusugua meno pia[emoji23]Anaoga kweli?
Hayo sio mapungufu brother, ni tabia ya mtu.Bora wewe unajibiwa asante baba, wengine ni wanabisha hawajakosea na wako sahihi.. 🤣😂
Ukishinda hoja utaambiwa basi yaishe.
Nina mwanangu ana majanga, wakati mwingine unaona hata aibu kumtembelea nyumbani kwake.
Mkewe ana kaujeri kakimya kimya, ukimuona ni mpole lakini ni mjeuri kinoooma, mwanangu anapata tabu saana, kuna muda anafikiria kumuacha.
Mie wangu ni kutaka kujua kila kitu in details, ananiboa saana, chochote kile atataka in details, hata apige simu mtu akuongeleshe atakuuliza nani huyo, ndio yupi. 😂🤣 Unamuliza utamjuaje sasa, hata nikikutajia fulani huwezi kumjua 😂, sijui ni kupenda kuongea na simu au vipi
Hata umpelekee zawadi atataka kujua yoote, kama umekopa, umemnunulia na sh ngapi, unajiuliza we unataka kujua nini, yaani ni shughuli pevu 😂
Kingine anapenda mnoo kuongea na simu, bora muwe karibu hii inasaidia, akiwa mbali anapiga simu ataongea mpaka stori zaitaisha, mie mvivu kubonga na FONI naishia kuweka loudspeaker tu.
Sometimes hana stori, anakupihia anakwambia mwanao anakuita, sasa mtoto Mwenyewe ndio bado hajatimiza mwaka vizuri, kuongea haongei, unajua tu hapa nimemisiwa.
Mengine madogo madogo, yanachangiwa na maisha yangu ya awali.
Elewa neno AWALI. lizingatie vema.
Najiona mimi kabisa. Hiyo ndio weakness yangu kubwa kukubali nimekosea ni mtihani. Naweza hamisha story lakini baba naye mtata hata ukihamisha story ataileta tu mpaka useme sorryhii ni tabia universal kwa wanawake. Ni wachache sana wanaokiri makosa. Kosa umkosee yeye, litaongelewa mpaka yesu arudi. Akosee yeye sasa, kama hajakaa kimya basi atatafuta njia ageuze kosa lake liwe lako.
VIkimbana kabisa utaishia kuchekewa chekewa kinafiki ila kutamka neno nimekosa ni haramu kwao.
Hii nimecheka sana aisee😅😅😅Kuachaniza vitu ndani,kila mkitaka kitu fulani lazima ianze operation tafuta,iwe kadi ya benki ,kadi ya mtoto ya hospitali,funguo na chochote kile mtatafuta tu.
Kataaa ndoa wakikukuta utaomba pooh3. Kijichanganya na WATU.
4. Ukimkosea hakiulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani Anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.
Jamani mwanaume anakupenda hivo hadi anataka akupokee waubavu wake kipendacho roho ila unaona kero?Ukisafiri ukiwa unarudi lazima alazimishe kuja kukupokea, yaani hii ni lazima sio ombi, tatizo ni kwamba hata umwambie nusu saa kabla hujafika, au lisaa kabisa lazima achelewe, yaani lazima achelewe. Kwahiyo mimi kukaa airport/Au stendi dakika 10/15/20 ni kitu cha kawaida tu. Nilishamshauri hili suala la kunipokea aliache, ntapanda tax, bajaji etc ila hakubali ng'oo ni bora umuue! Nishanuna sana, nishazira sana ila haisaidii. Mwaka wa 9 huu.
Hii sjaelewa,Kwan dawa za mswaki Zina sehemu ya kubinyia?2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
Kumbe hayo ni madhaifu ?Wakuuu habari za usiku.
Moja kwa Moja twende kwenye maada. Mimi kwa upande wangu mapungu yafuatayo kitoka kwa mama watoto wangu nimekubali KUISHI NAYO.
1. Kuto pokea simu.
Mke wa Mimi hapokei simu hata aione inaita hataahughulika NAYO Hadi amalize shughuli zake. Ukimpigia simu asipo pokea usijisumbue kutuma sms,ukituma Kuna siku utaisoma mwenyewe.
2. Dawa ya mswaki.
Kwenye matumizi ya hii KITU yeye huminya popote pale.
3. Kijichanganya na WATU.
4. Ukimkosea hakiulizi na haoneshi kama amechukia ila utaulizwa siku nyingine na atawasilisha kwa njia ya utani.
5. Akikukosea ukiuliza atakuambia nisamehe baba......... hapo hata uongee vipi hatakujibu.
Hapendi kabisaa kijichanganya na WATU hasa ukitaka umuudhi fika nyumbani Anza kumwongelea mtu hapendi kabisaa na anachukia kwa dhati.
Haya ndo baadhi ya mambo ambayo nimeamua KUISHI NAYO na nimefamikiwa KUISHI NAYO kwa muda wa miaka 19 ya ndoa yetu.
Wangu mie sio Muha ila kwa ubishi nadhani ana washinda WAHA🤨Ubishi jamani ubishiiii kwani waha wote lazima muwe wabishii?