Ni mara kumi unywe local beer kuliko hizi imported beer kama Savanna, Heineken, Windhoek n.k

Ni mara kumi unywe local beer kuliko hizi imported beer kama Savanna, Heineken, Windhoek n.k

MAKANGEMBUZI

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2020
Posts
2,670
Reaction score
7,655
Wazee mambo vipi Mnyunguli hapa.

Aisee hali ni mbaya ubebari ni balaa watu wanajali pesa tu takwimu zinaonesha vijana na magonjwa ya figo ni kama chupi na sehemu za siri...hii inachangiwa na unywaji pombe.Nawaelewa sana wanaoamua kutumia beer za nje wakiamini kwamba zina usalama mkubwa na quality tofauti na hizi za ndani.

Serikali isiyoajali afya za wananchi wake kuna wahuni wana-manupalate mifumo(high profile leaders) kwa kufyatua beer feki za nje na kikundi cha wahuni wapo tu.

Binafsi nimeacha kunywa beer za nje kwa usalama wa afya yangu maana test za siku hizi hazieleweki ..bora nikomae na hizi za TBL serengeti lite, safari (bia ngumu hizi) nk..hawa jamaa kidogo wako macho na wahuni wanaharibu brands zao kwa kufyatua vinywaji feki uchochoroni na bei ya local bia ukichakachua haiwezi kukulipa sana tofauti na hawa wakina flying fish and the likes.

Unajisifia unakunywa ma-heness ya gharama kumbe unakunywa gongo iliyochanganywa na chang'aa
 
wazee mambo vipi Mnyunguli hapa.

Aisee hali ni mbaya ubebari ni balaa watu wanajali pesa tu takwimu zinaonesha vijana na magonjwa ya figo ni kama chupi na sehemu za siri...hii inachangiwa na unywaji pombe.Nawaelewa sana wanaoamua kutumia beer za nje wakiamini kwamba zina usalama mkubwa na quality tofauti na hizi za ndani.


lakini kama mnavyojua Tanzania taifa la kihuni tuna serikali isiyoajali afya za wananchi wake kuna wahuni wana-manupalate mifumo(high profile leaders) kwa kufyatua beer feki za nje na kikundi cha wahuni TBS wapo tu.

Binafsi nimeacha kunywa beer za nje kwa usalama wa afya yangu maana test za siku hizi hazieleweki ..bora nikomae na hizi za TBL serengeti lite,safari(bia ngumu hizi) nk..hawa jamaa kidogo wako macho na wahuni wanaharibu brands zao kwa kufyatua vinywaji feki uchochoroni.

Unajisifia unakunywa ma-heness ya gharama kumbe unakunya gongo iliyochanganywa na na chang'aa
🤣🤣🤣 tatzo huna pesa unajifanya unakunywa local bia alaf miaka 5 mbele unauguwa kisukar sasa hapo mgonjwa fgo na kisukar yup atakuwa anayo msongo wa mawazo?
 
20220527_231959.jpg

Nipo na zimua hapa saiz na ngano OG
 
wazee mambo vipi Mnyunguli hapa.

Aisee hali ni mbaya ubebari ni balaa watu wanajali pesa tu takwimu zinaonesha vijana na magonjwa ya figo ni kama chupi na sehemu za siri...hii inachangiwa na unywaji pombe.Nawaelewa sana wanaoamua kutumia beer za nje wakiamini kwamba zina usalama mkubwa na quality tofauti na hizi za ndani.


lakini kama mnavyojua Tanzania taifa la kihuni tuna serikali isiyoajali afya za wananchi wake kuna wahuni wana-manupalate mifumo(high profile leaders) kwa kufyatua beer feki za nje na kikundi cha wahuni TBS wapo tu.

Binafsi nimeacha kunywa beer za nje kwa usalama wa afya yangu maana test za siku hizi hazieleweki ..bora nikomae na hizi za TBL serengeti lite,safari(bia ngumu hizi) nk..hawa jamaa kidogo wako macho na wahuni wanaharibu brands zao kwa kufyatua vinywaji feki uchochoroni.

Unajisifia unakunywa ma-heness ya gharama kumbe unakunya gongo iliyochanganywa na na chang'aa
Umejieleza sana, sema unapenda local beer tu basi. Umeacha kutazama sinema unatazama tamthiliya. Yale yale health risks kwa alcohol iko pote local ama import haijalishi. Na local yetu ni import kwa nchi zingine ujue
 
Back
Top Bottom