and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Mi naona hata hizi local beer siku hizi ni formulas tu, nani ahangaike hivi sasa kukupikia ngano wakati chemicals zipo? utawekewa ngano robo halafu kinachobaki ni chemicals tu.
Hata hao wazalishaji wa ndani huko viwandani na wao ni wale wale tu, ni kama hizi juice za matunda kutoka viwandani, ni formulas mwanzo mwisho.
Watu hawaaminiki.
Hata hao wazalishaji wa ndani huko viwandani na wao ni wale wale tu, ni kama hizi juice za matunda kutoka viwandani, ni formulas mwanzo mwisho.
Watu hawaaminiki.