Ni mara kumi unywe local beer kuliko hizi imported beer kama Savanna, Heineken, Windhoek n.k

Ni mara kumi unywe local beer kuliko hizi imported beer kama Savanna, Heineken, Windhoek n.k

Ni mara kumi unywe local beer kuliko hizi imported beer kama Savanna, Heineken, Windhoek n.k
Ongeza hapo soda za energy na supu ya pweza. Zote hizo ni hatari.

Watengenezaji wa supu ya pweza si waadilifu. Wengi huongeza viagra kwenye supu ili ionekane inafanya kazi tarajiwa kuvutia wateja. So, kama unakunywa hiyo supu kila siku maana yake unakula dawa daily, na matokea utayapata kupitia figo, nk.
 
Bora sukari mara elfu kuliko figo tumia akili utajua ...yani ukimwambia mtu yoyote achague figo au kisukari basi watu tungechagua kisukari bila ya kupepesa macho.... figo na cancer ni ngoma draw au figo inezidi kansa kidogo
Nakuelewa, unalenga gharama za matibabu kwa hilo ntakubaliana nawe. Ila magonjwa yote mawili yana athiri ubora wa maisha na mtindomaisha wote wa mgonjwa.
 
Nakuelewa, unalenga gharama za matibabu kwa hilo ntakubaliana nawe. Ila magonjwa yote mawili yana athiri ubora wa maisha na mtindomaisha wote wa mgonjwa.
Siyo gharama za matibabu tu kunskitu kikubwa zaidi ya gharama za matibabu nimekieleza
 
Nyote wapuuzi hakuna ugonjwa wenye unafuu hapo "muulize Mbunge bwege, au mbambucha"
Uliwahi ona mtu kawa disgnosed na ugonjwa wa figo akaishi miaka hata 10?

Sasa kisukari watu wanazaliwa nayo hadi wanazeeka, na watu kadhaa wanapona. Figo ikishafeli wewe hurudi nyuma labda uwekewe nyingine, sasa unaitoa wapi kirahisi.

Huyo Mbunge Bwege unakuta ana miaka nenda rudi na kisukari. Na wala hatumii gharama kubwa kuishi nayo, sasa figo dialysis kwa wiki ni mshahara wa mwezi mtumishi wa diploma.
 
Siyo gharama za matibabu tu kunskitu kikubwa zaidi ya gharama za matibabu nimekieleza
Ok, ila naambiwa na mtaalamu hapa kisukari ndio sababu inayoongoza ya ugonjwa wa figo. Sasa unafuu wake uko wapi? Ukiwa na kisukari uko katika hatari kubwa zaidi ya kupata shida ya figo
 
Ok, ila naambiwa na mtaalamu hapa kisukari ndio sababu inayoongoza ya ugonjwa wa figo. Sasa unafuu wake uko wapi? Ukiwa na kisukari uko katika hatari kubwa zaidi ya kupata shida ya figo
Unachanganya mada hapa tunaongelea mgonjwa wa kisukari asiye na ugonjwa wa figo na mgonjwa wa figo asiye na ugonjwa wa kisukari
 
Nakuelewa, unalenga gharama za matibabu kwa hilo ntakubaliana nawe. Ila magonjwa yote mawili yana athiri ubora wa maisha na mtindomaisha wote wa mgonjwa.
Bado huelewi somo. Life expectancy ya mgonjwa wa figo anayefanyiwa dialysis bongo hii na huduma zetu mbovu haifiki hata miaka 10, tena hiyo ni world average ambayo bongo wagonjwa hawafiki hiyo. Yaani utatumia 500,000 ya dialysis kila wiki kwa miaka 10 kisha uondoke. Kwa mwezi milioni 2, kwa mwaka milioni 24, kwa miaka 10 milioni 240 bila kuzingatia inflation.

Wakati kwa kisukari type 1 na type 2 zote wagonjwa wake wako na pungufu ya life expectancy kulingana na age group ya muongo waliogundulika na kisukari, ila bado wanaishi umri mrefu.

Mtu akigundulika na ugonjwa wa figo bongo na akatibiwa vizuri akatumia hiyo milioni 240 its likely havuki miaka 10 atakufa kabla hajaiona 20. Mtu mwenye kisukari akiishi vizuri, kuanzia miaka 10 anaoa/kuolewa anazaa watoto na ikiwezekana anaona wajukuu.

Unalinganisha toroli na fuso
 
Bado huelewi somo. Life expectancy ya mgonjwa wa figo anayefanyiwa dialysis bongo hii na huduma zetu mbovu haifiki hata miaka 10, tena hiyo ni world average ambayo bongo wagonjwa hawafiki hiyo. Yaani utatumia 500,000 ya dialysis kila wiki kwa miaka 10 kisha uondoke. Kwa mwezi milioni 2, kwa mwaka milioni 24, kwa miaka 10 milioni 240 bila kuzingatia inflation.

Wakati kwa kisukari type 1 na type 2 zote wagonjwa wake wako na pungufu ya life expectancy kulingana na age group ya muongo waliogundulika na kisukari, ila bado wanaishi umri mrefu.

Mtu akigundulika na ugonjwa wa figo bongo na akatibiwa vizuri akatumia hiyo milioni 240 its likely havuki miaka 10 atakufa kabla hajaiona 20. Mtu mwenye kisukari akiishi vizuri, kuanzia miaka 10 anaoa/kuolewa anazaa watoto na ikiwezekana anaona wajukuu.

Unalinganisha toroli na fuso
Nimekuelewa vyema mkuu
 
Bado huelewi somo. Life expectancy ya mgonjwa wa figo anayefanyiwa dialysis bongo hii na huduma zetu mbovu haifiki hata miaka 10, tena hiyo ni world average ambayo bongo wagonjwa hawafiki hiyo. Yaani utatumia 500,000 ya dialysis kila wiki kwa miaka 10 kisha uondoke. Kwa mwezi milioni 2, kwa mwaka milioni 24, kwa miaka 10 milioni 240 bila kuzingatia inflation.

Wakati kwa kisukari type 1 na type 2 zote wagonjwa wake wako na pungufu ya life expectancy kulingana na age group ya muongo waliogundulika na kisukari, ila bado wanaishi umri mrefu.

Mtu akigundulika na ugonjwa wa figo bongo na akatibiwa vizuri akatumia hiyo milioni 240 its likely havuki miaka 10 atakufa kabla hajaiona 20. Mtu mwenye kisukari akiishi vizuri, kuanzia miaka 10 anaoa/kuolewa anazaa watoto na ikiwezekana anaona wajukuu.

Unalinganisha toroli na fuso
Mara nyingi mtoa figo na mtolewa figo wakiishi sana ni miaka 4 hadi 8 tu wanakufa wote wawili
 
Lakini a simple internet search does not suggest ulichosema hapa.
Yanafichwa kwa maslai ya kuondoa hofu ila ukweli ndiyo huo ..kama nilivyo sema ugonjwa wa figo ni ugonjwa fedhea kwa familia ..siku zote doctor anatakiwa kumtia moyo mgonjwa ...kwa hapa tz asilimia 60% wanaishi kwa hiyo miaka niliyo kupa asilimia 40 tu ndiyo wanavuka
 
Back
Top Bottom