Ni mara kumi unywe local beer kuliko hizi imported beer kama Savanna, Heineken, Windhoek n.k

Ni mara kumi unywe local beer kuliko hizi imported beer kama Savanna, Heineken, Windhoek n.k

Kitu cha kusikitisha kwa huyo jamaa ni ubishi hata baada ya kueleweshwa ...figo inafarakanisha familia inauzunisha familia inasononesha familia maana ni ugonjwa wa kujitoa kafara kwa nafsi mbili.
Nafsi mbili, ya mgonjwa na yanani?
 
wazee mambo vipi Mnyunguli hapa.

Aisee hali ni mbaya ubebari ni balaa watu wanajali pesa tu takwimu zinaonesha vijana na magonjwa ya figo ni kama chupi na sehemu za siri...hii inachangiwa na unywaji pombe.Nawaelewa sana wanaoamua kutumia beer za nje wakiamini kwamba zina usalama mkubwa na quality tofauti na hizi za ndani.

Serikali isiyoajali afya za wananchi wake kuna wahuni wana-manupalate mifumo(high profile leaders) kwa kufyatua beer feki za nje na kikundi cha wahuni wapo tu.

Binafsi nimeacha kunywa beer za nje kwa usalama wa afya yangu maana test za siku hizi hazieleweki ..bora nikomae na hizi za TBL serengeti lite, safari (bia ngumu hizi) nk..hawa jamaa kidogo wako macho na wahuni wanaharibu brands zao kwa kufyatua vinywaji feki uchochoroni.

Unajisifia unakunywa ma-heness ya gharama kumbe unakunya gongo iliyochanganywa na chang'aa
Nilishtuka mapema baada ya kuona ladha zinakua tofauti
 
Ongeza hapo soda za energy na supu ya pweza. Zote hizo ni hatari.

Watengenezaji wa supu ya pweza si waadilifu. Wengi huongeza viagra kwenye supu ili ionekane inafanya kazi tarajiwa kuvutia wateja. So, kama unakunywa hiyo supu kila siku maana yake unakula dawa daily, na matokea utayapata kupitia figo, nk.
Sure.
 
Ewaaa yahn changamoto sana unanunua bia moja tsh 5k ukinywa 5 inakuwa tsh 25k hiyo halafu inakuja kukuletea athari kubwa mwilinu
Wanaua figo hao.....buku 25 yako inakuja kukupa gharama kubwa zaidi za matibabu.....kwakweli kama wenye mamlaka wenyewe wanawalea inabidi tu kujiokoa kivyako
 
wa komoni mpo kuna siku jamaa yangu alinikuta na kunywa pombe za machicha wacha anicheke kwamba sina hela nikamjibu hamna shd kikubwa wote tunalewa leo hy anaumwa figo na mwambia vp huna hela mbona figo zina uzwa ananitolea macho asee malipo ni hapahap
 
wazee mambo vipi Mnyunguli hapa.

Aisee hali ni mbaya ubebari ni balaa watu wanajali pesa tu takwimu zinaonesha vijana na magonjwa ya figo ni kama chupi na sehemu za siri...hii inachangiwa na unywaji pombe.Nawaelewa sana wanaoamua kutumia beer za nje wakiamini kwamba zina usalama mkubwa na quality tofauti na hizi za ndani.

Serikali isiyoajali afya za wananchi wake kuna wahuni wana-manupalate mifumo(high profile leaders) kwa kufyatua beer feki za nje na kikundi cha wahuni wapo tu.

Binafsi nimeacha kunywa beer za nje kwa usalama wa afya yangu maana test za siku hizi hazieleweki ..bora nikomae na hizi za TBL serengeti lite, safari (bia ngumu hizi) nk..hawa jamaa kidogo wako macho na wahuni wanaharibu brands zao kwa kufyatua vinywaji feki uchochoroni na bei ya local bia ukichakachua haiwezi kukulipa sana tofauti na hawa wakina flying fish and the likes

Unajisifia unakunywa ma-heness ya gharama kumbe unakunywa gongo iliyochanganywa na chang'aa
Back to Kangala, wanzuki and mbege.
 
Nafsi mbili, ya mgonjwa na yanani?
Nipale mnapo ambiwa mgonjwa wenu anatakiwa awekewe figo hapo ndugu wa karibu ndiyo anatakiwa kujitolea figo tayari wagonjwa wanakuwa wawili na kuna matukio mengi tu ya mtoa figo na mpokea figo kufa baada ya miaka michache sana
 
Lakini a simple internet search does not suggest ulichosema hapa.
Tunazungumzia bongo ambapo Dar muuguzi alirekodiwa akiosha vifaatiba kwa majichumvi ya bombani, kisha vingetumika kwa mgonjwa mwingine baada ya yule wa mwanzo.
Tunaisema bongo ambapo vituo kadhaa vya afya mwaka huu vimegundulika kutumia friji za kutunzia nyanya kuhifadhia damu. Wakati kwingine damu inatengwa components zake na inahifadhiwa kwenye friji maalum za damu, sisi kuna watumishi damu wananunua friji la Mr. UK au Boss pale Kariakoo wanatia damu humo.

Na uko unakosoma mtandaoni wagonjwa wanatumia gharama kubwa kujikinga na madhara, ndio maana mtu akitoa figo hupewa kitita cha fedha ya kujikimu.
Lifestyle pale itabadilika, sasa wewe unatoa figo alafu siku ukiumwa kichwa unaenda kununua Panadol za 200 duka la mangi. Panadol zimetengenezwa Vingunguti ambapo ukizipeleka Uingereza au Ujerumani wakizipima unaweza fungwa jela.

Unakunywa dawa ukikojoa unasikia harufu yake, wakati una figo moja we unadhani kuna maisha hapo. Wakati wenye hela wanatumia painkillers za Pfizer au Moderna vidonge vitano laki. Ukitoka hapo unagoogle kuona utaishi miaka mingapi, aaah bongo unahisi kwanini tuna life expectancy ya miaka 66 na Japan wana 85?
 
Wanaua figo hao.....buku 25 yako inakuja kukupa gharama kubwa zaidi za matibabu.....kwakweli kama wenye mamlaka wenyewe wanawalea inabidi tu kujiokoa kivyako
Local bia ambazo zina usalama hapo unakunywa bia kumi na mbili na maji makubwa ya buku.
 
Figo siyo tumia akili acha kutumia kijambio kufikiri kama samia bushiri ...figo inafarakanisha familia mgonjwa mmoja wa figo tayari ni wagonjwa wawili wa figo ..kimbembe ni kikubwa ndani ya familia maana ni ugonjwa wa kafara mbili ....huo ugonjwa unafunua mambo mengi sana ndani ya familia maana matibabu yake ni kujitoa sadaka nafsi mbili ...ni sawa sawa na ndugu ysko yuko kwenye mafuliko ya maji unajiuliza uende kumsahidia muangamie wote au umwache uokoe nafsi yako ...sema kwa sababu akili zako ndogo uwezi kuelewa ninacho sema.
Muombe Mungu akupe afya na siha njema ndugu "Acha" nikupe ushindi ugonjwa ni ugonjwa tu
 
Mnasingizia beer za nje tu ila vijana hawajali afya zao. Watu wanashindia energy drinks, chips, shisha, sigara, soda, hakuna mazoezi, club kila siku, maji chupa moja kwa wk utaacha vp kuumwa figo.
 
Sawa mkuu
Uliwahi ona mtu kawa disgnosed na ugonjwa wa figo akaishi miaka hata 10?

Sasa kisukari watu wanazaliwa nayo hadi wanazeeka, na watu kadhaa wanapona. Figo ikishafeli wewe hurudi nyuma labda uwekewe nyingine, sasa unaitoa wapi kirahisi.

Huyo Mbunge Bwege unakuta ana miaka nenda rudi na kisukari. Na wala hatumii gharama kubwa kuishi nayo, sasa figo dialysis kwa wiki ni mshahara wa mwezi mtumishi wa diploma.
 
Back
Top Bottom