Ni mara kumi unywe local beer kuliko hizi imported beer kama Savanna, Heineken, Windhoek n.k

Ni mara kumi unywe local beer kuliko hizi imported beer kama Savanna, Heineken, Windhoek n.k

Tunazungumzia bongo ambapo Dar muuguzi alirekodiwa akiosha vifaatiba kwa majichumvi ya bombani, kisha vingetumika kwa mgonjwa mwingine baada ya yule wa mwanzo.
Tunaisema bongo ambapo vituo kadhaa vya afya mwaka huu vimegundulika kutumia friji za kutunzia nyanya kuhifadhia damu. Wakati kwingine damu inatengwa components zake na inahifadhiwa kwenye friji maalum za damu, sisi kuna watumishi damu wananunua friji la Mr. UK au Boss pale Kariakoo wanatia damu humo.

Na uko unakosoma mtandaoni wagonjwa wanatumia gharama kubwa kujikinga na madhara, ndio maana mtu akitoa figo hupewa kitita cha fedha ya kujikimu.
Lifestyle pale itabadilika, sasa wewe unatoa figo alafu siku ukiumwa kichwa unaenda kununua Panadol za 200 duka la mangi. Panadol zimetengenezwa Vingunguti ambapo ukizipeleka Uingereza au Ujerumani wakizipima unaweza fungwa jela.

Unakunywa dawa ukikojoa unasikia harufu yake, wakati una figo moja we unadhani kuna maisha hapo. Wakati wenye hela wanatumia painkillers za Pfizer au Moderna vidonge vitano laki. Ukitoka hapo unagoogle kuona utaishi miaka mingapi, aaah bongo unahisi kwanini tuna life expectancy ya miaka 66 na Japan wana 85?
Inatisha aiseee
 
Muombe Mungu akupe afya na siha njema ndugu "Acha" nikupe ushindi ugonjwa ni ugonjwa tu
Akili zako ni sawa na SAMIA BUSHIRI naye alisema kifo ni kifo tu ...pia hapa atuongelei kwa maana ya kifo ...mada hai kuwa 👉anaye kufa kwa kisukari au anayekufa kwa figo ) mada siyo kufa
 
Hata hii itapendeza
GZS7RjRWgAAgn13.jpg
 
Tunazungumzia bongo ambapo Dar muuguzi alirekodiwa akiosha vifaatiba kwa majichumvi ya bombani, kisha vingetumika kwa mgonjwa mwingine baada ya yule wa mwanzo.
Tunaisema bongo ambapo vituo kadhaa vya afya mwaka huu vimegundulika kutumia friji za kutunzia nyanya kuhifadhia damu. Wakati kwingine damu inatengwa components zake na inahifadhiwa kwenye friji maalum za damu, sisi kuna watumishi damu wananunua friji la Mr. UK au Boss pale Kariakoo wanatia damu humo.

Na uko unakosoma mtandaoni wagonjwa wanatumia gharama kubwa kujikinga na madhara, ndio maana mtu akitoa figo hupewa kitita cha fedha ya kujikimu.
Lifestyle pale itabadilika, sasa wewe unatoa figo alafu siku ukiumwa kichwa unaenda kununua Panadol za 200 duka la mangi. Panadol zimetengenezwa Vingunguti ambapo ukizipeleka Uingereza au Ujerumani wakizipima unaweza fungwa jela.

Unakunywa dawa ukikojoa unasikia harufu yake, wakati una figo moja we unadhani kuna maisha hapo. Wakati wenye hela wanatumia painkillers za Pfizer au Moderna vidonge vitano laki. Ukitoka hapo unagoogle kuona utaishi miaka mingapi, aaah bongo unahisi kwanini tuna life expectancy ya miaka 66 na Japan wana 85?
Jamaa logic yake ni ndogo sana ameshindwa kujua hata back ground ya maisha ya mtoa figo na mpokea figo ina matter kwenye hatima yao baada ya kutoa figo na kuwekewa figo ...mtu aliye zaliwa kwenye maisha mazuri na kulelewa kwenye afya njema na maisha yasiyo na dhiki akija kutoa figo kumpatia ndugu yake anaweza kusavaivu muda mrefu na figo moja kuliko mtu aliye ishi maisha ya kula makwasu kwasu toka mdogo
 
Akili zako ni sawa na SAMIA BUSHIRI naye alisema kifo ni kifo tu ...pia haoa atuongelei kwa maana ya kifo ...mada ahikuwa 👉anaye kufa kwa kisukari au anayekufa kwa figo ) mada siyo kufa
M Sina neno sio mtu wa mabishano "mpumbavu mpe ushindi"
 
Kuna siku mwaka 2021 nikiwa chugga nilienda night club moja hivi nikaagiza Hennessy VSOP aiseee ile ilikuwa imechakachuliwa
 
Hatari kaka hujiulizi kwanini miaka ya nyuma hili tatzo halikuwa kubwa kama zamani.
Haimanishi kwamba tatizo halikuwepo zamani, labda njia za kuligunduwa ndo zimeboreshwa?.
Vipi UTI ipoje ukilinganisha zamani na sasa?
 
Na kina dokta Janabi wanaupromote sana huu ugonjwa kwenye media.
Prof. Janabi hafanyi promotion ya ugonjwa pamoja na kwamba anatoa masharti mengi. Nenda Mloganzilau au hospitali kubwa ukatembelee wagonjwa ukirudi utamtafuta Janabi mitandao yote ya kijamii.

Uzuri anatoa onyo tu na ushauri, ukipinga mtakutana na yeye au mwenye fani kama yake hospitali akiwa amevaa koti jeupe na wewe umevaa msuli kuvaa suruali tena huwezi.
 
wazee mambo vipi Mnyunguli hapa.

Aisee hali ni mbaya ubebari ni balaa watu wanajali pesa tu takwimu zinaonesha vijana na magonjwa ya figo ni kama chupi na sehemu za siri...hii inachangiwa na unywaji pombe.Nawaelewa sana wanaoamua kutumia beer za nje wakiamini kwamba zina usalama mkubwa na quality tofauti na hizi za ndani.

Serikali isiyoajali afya za wananchi wake kuna wahuni wana-manupalate mifumo(high profile leaders) kwa kufyatua beer feki za nje na kikundi cha wahuni wapo tu.

Binafsi nimeacha kunywa beer za nje kwa usalama wa afya yangu maana test za siku hizi hazieleweki ..bora nikomae na hizi za TBL serengeti lite, safari (bia ngumu hizi) nk..hawa jamaa kidogo wako macho na wahuni wanaharibu brands zao kwa kufyatua vinywaji feki uchochoroni na bei ya local bia ukichakachua haiwezi kukulipa sana tofauti na hawa wakina flying fish and the likes

Unajisifia unakunywa ma-heness ya gharama kumbe unakunywa gongo iliyochanganywa na chang'aa
Smart Gin 200 ml shs 2000-
Konyagi ndogo 200 ml shs 5000-
Zote ni ethanol na dionised water and artificial flavor na alcohol content ni sawa 🥴
 
1.Pombe
2.shisha,
3.sigara
4.kula vyakula vya mafuta mengi,mairiani,mapizza,fried chickens,chips,chumvi nyingi----hupelekea:-
5.Hypertension 6.Diabetes Mellitus
Sasa tule nini, na kwanini Mungu atuumbie vyakula vyenye marazi mengi kama hayo duuh?
 
Jamaa logic yake ni ndogo sana ameshindwa kujua hata back ground ya maisha ya mtoa figo na mpokea figo ina matter kwenye hatima yao baada ya kutoa figo na kuwekewa figo ...mtu aliye zaliwa kwenye maisha mazuri na kulelewa kwenye afya njema na maisha yasiyo na dhiki akija kutoa figo kumpatia ndugu yake anaweza kusavaivu muda mrefu na figo moja kuliko mtu aliye ishi maisha ya kula makwasu kwasu toka mdogo
Aisee haya mzee logic kubwa
 
Back
Top Bottom