Aug 5. 2017 Museveni alikuja Tanga kuweka jiwe la msingi, baadaye JPM alienda Uganda kusaini, September 2020 Museveni alikuja Dar kutia saini, Museveni akaja tena Chato kusaini, April 11, 2021 Rais Samia akaenda Uganda kusaini, jana Mseveni kaja tena Dar kusaini. Dah!
Kazi iendelee.
===============
Ukweli ni kwamba.....
===============
www.google.com
Kazi iendelee.
===============
Ukweli ni kwamba.....
===============
Kampuni za mafuta za Total na Tullow zashindwa kuafikiana biashara - BBC News Swahili
Tayari hatua za awali kuelekea ujenzi huo kama ramani, baadhi ya kandarasi na utanuzi wa bandari ya Tanga Tanzania zilishaanza.