Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Sio kweli mashine hazitozwi kodi nyingi kama bidhaa zingine.
Kwasababu zinachukuliwa kama zina boost ukuaji wa viwanda.

Mashine hazitozwi import duty, zinatozwa railway levy, na vat na gharama zingine kwa uchache.

Niliwahi import machine fulani kutoka US na huo ndio mchanganuo niliopigiana hesabu na watu wa custom japo ilikua kwa ndege.

Kwa bandarini nadhani mawakala wanachukua pia percentage yao kwenye clearance.

Kwa wale wanaotumia cargo forwarders wakina gnm nadhani wanao gharama zao za usafiri zina cover process za clearance za mzigo wako pindi unapofika.

Kuna kitu cha muhimu sana
Kuna mdau Covax hapo juu kazungumzia, usikimbilie kununua mashine pasipo kujua upatikanaji wa spares na urahisi wa matengenezo, mashine zote zinahitaji maintenance mana vipuri huchoka na kuhitaji replacement, sasa ukienda kichwa kichwa umeagiza mashine biashara imechachamaa wateja wamekolea mashine inapata shida utajua hujui.

Cha mwisho mashine nyingi za mchina ni bei ya chini kwasababu wanaunda kwa kutumia vifaa hafifu, hii haina maana hawana vifaa imara isipokua wanapunguza gharama za uzalishaji ili waipate hiyo ela yako ndogo.

Mashine nzuri zipo ila ni gharama.
Asante mkuu kwa kunitoa woga hapa nataka agiza sola ya 200W ila garama yake ni 52.3 USD for one piece je hapo bandarini wanaweza niua kwa kiasi gani maana mzigo unatoka chini
 
Mashine ya kukamua mafuta kutoka kwenye alizeti, karanga, Ufuta na ya kuondoa harufu.
 
Vijana mkiwa mnahitaji mashine za ku watoa zingatieni haya:

*Kodi ya Import duty
*Spare au vipuri vya machine
*Power consumption yake
*Production rate ukiliganisha na soko
*Technology na mafundi wa hizo machines.

Watu wengi wameimport machine ila zimewashida kitumia either gharama yake ya oparation iko juu au ni outdated Technology au kukosa spare zake,
nina machine moja GTO 52 ila fundi wake na msafirisha kutoka mbali kweli kweli.
Mkuu ulicho kisema ni kweli, kunajamaa alinunu machine ya kuprint picha QS 3011, kila inapohariika fundi anamtoa mbali anamsafirisha kumleta jamaa alipo, safari tu inamgarim pesa nyingi bado matengenezo na sehemu nzuri ya kulala fundi huyo bado atataka amupe pesa ya kununua malaya, yaani jamaa alijikuta uendeshaji wa machine hiyo unamshinda akaamua kufunga biashara
 
Machine ya kutengeneza chakula cha kuku..ingekuwa poa sana,kwa biashara yangu.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app

IMG_1848.jpg
 
Mchina kaniuliza hivi👇

Can I know your supplier's port?

naomba kujua pale bandarini Supplier port ndo nani?
 
Kuna baadhi ya bidhaa za nyumbani tumekuwa tukifundisha watu kutengeneza bila kutumia mashine tangu mwaka 2017 ikiwemo aina zote za sabuni kuanzia za kipande , lotion zote,mafuta mgando n.k . Tuko Kibaha maili moja tucheki kwa 0713-039 875
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mchina kaniuliza hivi👇

Can I know your supplier's port?

naomba kujua pale bandarini Supplier port ndo nani?
Bandari unayopokelea Mzigo chief. Tafuta mawasiliano na kampuni ya silent ocean China. Ukitaka kununua na kusafirisha kwa bei nafuu toka China itabidi Mchina apeleke mzigo kwenye ofisi zao Guangzhou. Kisha wao watakusafirishia mpaka dar.
 
Mkuu ulicho kisema ni kweli, kunajamaa alinunu machine ya kuprint picha QS 3011, kila inapohariika fundi anamtoa mbali anamsafirisha kumleta jamaa alipo, safari tu inamgarim pesa nyingi bado matengenezo na sehemu nzuri ya kulala fundi huyo bado atataka amupe pesa ya kununua malaya, yaani jamaa alijikuta uendeshaji wa machine hiyo unamshinda akaamua kufunga biashara
Pesa ya kununua malaya tena jamani!!!
 
Back
Top Bottom