Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 920
Lathe machine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni bonge ya dili mkuu, hata mm Hua naiwazia Kila nikinuunua Mafuta ya alizeti yenye harufucooking oils purifier and odours remover machines.
Mkuu hii ndiyo inakata mzizi wa fitna mkuu ispokuwa ni aghali sanaHii ni bonge ya dili mkuu, hata mm Hua naiwazia Kila nikinuunua Mafuta ya alizeti yenye harufu
Asante mkuu kwa kunitoa woga hapa nataka agiza sola ya 200W ila garama yake ni 52.3 USD for one piece je hapo bandarini wanaweza niua kwa kiasi gani maana mzigo unatoka chiniSio kweli mashine hazitozwi kodi nyingi kama bidhaa zingine.
Kwasababu zinachukuliwa kama zina boost ukuaji wa viwanda.
Mashine hazitozwi import duty, zinatozwa railway levy, na vat na gharama zingine kwa uchache.
Niliwahi import machine fulani kutoka US na huo ndio mchanganuo niliopigiana hesabu na watu wa custom japo ilikua kwa ndege.
Kwa bandarini nadhani mawakala wanachukua pia percentage yao kwenye clearance.
Kwa wale wanaotumia cargo forwarders wakina gnm nadhani wanao gharama zao za usafiri zina cover process za clearance za mzigo wako pindi unapofika.
Kuna kitu cha muhimu sana
Kuna mdau Covax hapo juu kazungumzia, usikimbilie kununua mashine pasipo kujua upatikanaji wa spares na urahisi wa matengenezo, mashine zote zinahitaji maintenance mana vipuri huchoka na kuhitaji replacement, sasa ukienda kichwa kichwa umeagiza mashine biashara imechachamaa wateja wamekolea mashine inapata shida utajua hujui.
Cha mwisho mashine nyingi za mchina ni bei ya chini kwasababu wanaunda kwa kutumia vifaa hafifu, hii haina maana hawana vifaa imara isipokua wanapunguza gharama za uzalishaji ili waipate hiyo ela yako ndogo.
Mashine nzuri zipo ila ni gharama.
Pia kuna mashine hatuwezi tengeneza itabidi tuagize wangefanya hata ziwe free kuingia ili ku boost uchumiWatz hawataki viwanda ndo maana zengwe kibao
Watumie gnm cargo au silent ocean watamaliza process zote.Asante mkuu kwa kunitoa woga hapa nataka agiza sola ya 200W ila garama yake ni 52.3 USD for one piece je hapo bandarini wanaweza niua kwa kiasi gani maana mzigo unatoka chini
Umeanza saundi za gwajimaNikipata kichwa cha treni mambo yangu yatakua safi sana
Mkuu ulicho kisema ni kweli, kunajamaa alinunu machine ya kuprint picha QS 3011, kila inapohariika fundi anamtoa mbali anamsafirisha kumleta jamaa alipo, safari tu inamgarim pesa nyingi bado matengenezo na sehemu nzuri ya kulala fundi huyo bado atataka amupe pesa ya kununua malaya, yaani jamaa alijikuta uendeshaji wa machine hiyo unamshinda akaamua kufunga biasharaVijana mkiwa mnahitaji mashine za ku watoa zingatieni haya:
*Kodi ya Import duty
*Spare au vipuri vya machine
*Power consumption yake
*Production rate ukiliganisha na soko
*Technology na mafundi wa hizo machines.
Watu wengi wameimport machine ila zimewashida kitumia either gharama yake ya oparation iko juu au ni outdated Technology au kukosa spare zake,
nina machine moja GTO 52 ila fundi wake na msafirisha kutoka mbali kweli kweli.
Machine ya kutengeneza chakula cha kuku..ingekuwa poa sana,kwa biashara yangu.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Mashine yenye uwezo wa kukatakata majani ya mchaichai sambamba na kukata tangawizi into very small pieces (like that of chips), aisee nitapata faraja sana
Hahaha hawana mawazo hayo kabisa kuanzia serikali mpaka watendajiPia kuna mashine hatuwezi tengeneza itabidi tuagize wangefanya hata ziwe free kuingia ili ku boost uchumi
Bandari unayopokelea Mzigo chief. Tafuta mawasiliano na kampuni ya silent ocean China. Ukitaka kununua na kusafirisha kwa bei nafuu toka China itabidi Mchina apeleke mzigo kwenye ofisi zao Guangzhou. Kisha wao watakusafirishia mpaka dar.Mchina kaniuliza hivi👇
Can I know your supplier's port?
naomba kujua pale bandarini Supplier port ndo nani?
Pesa ya kununua malaya tena jamani!!!Mkuu ulicho kisema ni kweli, kunajamaa alinunu machine ya kuprint picha QS 3011, kila inapohariika fundi anamtoa mbali anamsafirisha kumleta jamaa alipo, safari tu inamgarim pesa nyingi bado matengenezo na sehemu nzuri ya kulala fundi huyo bado atataka amupe pesa ya kununua malaya, yaani jamaa alijikuta uendeshaji wa machine hiyo unamshinda akaamua kufunga biashara
Serikali inapiga pesa hii, kila Item/product inayoingia wanabeba more than 45% ya Value....!import duty 25%
vat 18%
rdf 1.5%
zinginezo 25%