Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Ni mashine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara?

Safi sana mkuu, hiyo mashine ya plastic recycling inafanya vipi kazi? Na ukishafanya recycling unapeleka wapi hizo materials? Yani kwa kifupi biashara yake ipoje hii.
Ukisaga unaenda uza wapo wanunuzi wakubwa chinese people wao wanexport pia malighafi ya kutengeneza bidhaa za plastic hapa nchini.
Hata Mimi nategemea kuwa buyer.
 
Huwa tunawaambia hawa walamba asali hawana nia na watu huwa awaelewi. Unatoza vipi kodi kitu kinachochoea uzalishaji na kutoa ajira. Mitambo, machine na magari ya biashara yangeingia free kama wangekuwa na akili, kitambo Sana tatizo la ajira lingekuwa historia.
Ata pikipiki nazo.
 
Machine ya kukamua mafuta ya alizeti ya kisasa kabisa pamoja na mashine ya kusafisha/kutoa harufu
Bei ikoje
 
Kwa oda ya bidhaa/vifaa/mashine mbalimbali kutoka Dubai msisite kunicheki.
IMG_20220722_003744_064.jpg
 
Back
Top Bottom