Una eneo tuingie ubia?Hatimaye nimefika mkuu, how i wish kuipata hiyo machine ngoja niendelee kujipanga. Ahsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una eneo tuingie ubia?Hatimaye nimefika mkuu, how i wish kuipata hiyo machine ngoja niendelee kujipanga. Ahsante
Kwa ukubwa upi? CBM za hiyo machine sio kubwa sana.Hiyo sio bei yake halisi, hiyo mashine ununuzi tu itakucost zaidi ya 10M. + Usafiri kama 4-5M.
Ipo, sikumbuki niliona wapi ila ilikuwa mtandaoni, sikufatilia saana sababu sina mpango wa kulima mpunga ndani ya miaka hii ya karibuni.Hivi wakuu kuna machine ya kuvuna or kupiga piga mpunga baada ya kukatwa/kuvunwa? Inaweza kuwa sh ngapi? Natamani niipeleke kijijini kwetu, iwarahisishie kazi wakati pia nikipiga pesa
Duh! endeleaga kutafuta mwanangu. Ingekuwa karibukaribu na Mbeya tungezungumza zaidi.
Goodluck
Kama hiyo, Compair Holman compressorNi nikipata Compressor ya kuchoronga miamba natoboa maisha
Hujakosea mkuu, ni sh. ngapi CompleteKama hiyo, Compair Holman compressorView attachment 2260094
Ahsante mkuuIpo, sikumbuki niliona wapi ila ilikuwa mtandaoni, sikufatilia saana sababu sina mpango wa kulima mpunga ndani ya miaka hii ya karibuni.
Ngoja niisake nikiipata nitakuletea.
Ni digger mkuuNi nikipata Compressor ya kuchoronga miamba natoboa maisha
Hili karasha linauzwa sh ngapi?Scree air compressor and stone crusher.View attachment 2260006View attachment 2260005View attachment 2260007View attachment 2260008
Mkuu upo mgodini niniNi nikipata Compressor ya kuchoronga miamba natoboa maisha
Sio mahoteli tu, dar ina uhaba wa laundries, watu wengi wana mapazia mashuka na nguo chafu wanaweka ndani wiki na ma wiki yanapita bila kufua, ukiwa na laundry business biashara ipo, ila tu uweke bei rafiki za kitanzania sio unaweka bei za oysterbayMashine yeyote ni mtaji mkubwa ila inategemea na hitaji la watu waliokuzunguka wanahitaji nini zaidi,
Mfano unaweza ukawa na washing machine kubwa kisha ukaingia tenda na Mahoteli.
Kilwa mkuuMkuu upo mgodini nini
Mkuu unauza chakula cha kuku?
Hivi wakuu kuna machine ya kuvuna or kupiga piga mpunga baada ya kukatwa/kuvunwa? Inaweza kuwa sh ngapi? Natamani niipeleke kijijini kwetu, iwarahisishie kazi wakati pia nikipiga pesa
Hiyo ni milioni 12. ila Ni compressor tu bila digger Wala attachment zingineHujakosea mkuu, ni sh. ngapi Complete
Kilwa Kuna migodi au!??Kilwa mkuu