lwidia2k
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 618
- 1,287
Jamaa aliniambia milioni 30,Hili karasha linauzwa sh ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa aliniambia milioni 30,Hili karasha linauzwa sh ngapi?
Kuna migodi ya madini ya gypsum.Kilwa Kuna migodi au!??
Hapa ndio mwisho wa yote.ya kutengeneza noti [emoji2210][emoji2088]
Kuna mwamba mmoja yupo gereza la lukarangaya kutengeneza noti [emoji2210][emoji2088]
According to ufahamu wangu, Hawa Sundar / aborder walikua wanauza Sola @watt ( yaani watt moja) ni tsh 1,700/= hivyo mfano unataka watts 100 ✓ 170,000/= , watts 200 ✓ 340,000 Hadi 300,000/=Hivi solar 1000W complete inaweza ni cost bei gani
Nenda agricom wanazo, wanakopesha piaHivi wakuu kuna machine ya kuvuna or kupiga piga mpunga baada ya kukatwa/kuvunwa? Inaweza kuwa sh ngapi? Natamani niipeleke kijijini kwetu, iwarahisishie kazi wakati pia nikipiga pesa
Compressor ndiyo inapeleka upepo kwenye digger, ili kufanikisha kudrillNi digger mkuu
Ahsante mkuu, ntawachekiNenda agricom wanazo, wanakopesha pia
Bado sijapata mkuu, naendelea kutafutaUna eneo tuingie ubia?
Tafuta bwana najua kwenye mahesabu ya debit credit upo vizuri so biashara itakuwa bomba sana.Bado sijapata mkuu, naendelea kutafuta
😂, hivi wewe upo vizuri kwenye nini? Mbususu tu?😂Tafuta bwana najua kwenye mahesabu ya debit credit upo vizuri so biashara itakuwa bomba sana.
Hiyo mbususu yenyewe nikipiga kimoko chali🤣🤣🤣🤣. Kuna sectir nipo vizuri kweli kweli ila siwezi kukwambia🤣🤣🤣😂, hivi wewe upo vizuri kwenye nini? Mbususu tu?😂
Eti kimoko 😂 sema fani yako unaweza kupata deals humu mkuu, mi najua una fani ya uchakataji mbususu tu😂Hiyo mbususu yenyewe nikipiga kimoko chali🤣🤣🤣🤣. Kuna sectir nipo vizuri kweli kweli ila siwezi kukwambia🤣🤣🤣
Hii ya biashara nipo hovyo yaani zero kabisa ndio maana natafuata mbia wakunifundisha
Ah wapi wannawake wenyewe wa jf nimewatongkza including urself na mmenitolea nje eti kisa mie ni bodaboda.Eti kimoko 😂 sema fani yako unaweza kupata deals humu mkuu, mi najua una fani ya uchakataji mbususu tu😂
Hee🤔 acha uongooAh wapi wannawake wenyewe wa jf nimewatongkza including urself na mmenitolea nje eti kisa mie ni bodaboda.
Ningeweka hapa pm zangu jinsi nilivyowatongkza wanawake wa jf ila nimeambulia vibuti tuuHee🤔 acha uongoo
Bei zao zikoje?Piga namba hii 0800110036 wanaitwa Simusolar ni wauzaji wa water pump zinazotumia solar kwa mkopo.
Website yao, www.simusolar.com