Ni mashine gani hapa mjini ukiwa nayo unaweza kujipatia 50000/-isiyo na presha kwa siku?

Ni mashine gani hapa mjini ukiwa nayo unaweza kujipatia 50000/-isiyo na presha kwa siku?

Machine ya kubadilisha expire date
Screenshot 2023-09-10 001602.jpg
 
Uwekezaji wa barbershop umekuwa wa gharama sana siku hizi mkuu. Yaani kiti tu kile kizuri ni 2m, bado accessories nyingine. Kuna jamaa naona anajitahidi sana kazifungua za kutosha mjini hapa, ila ni amewekeza kweli, yaani zile barbershop kima cha chini nadhani ni 20m.
Investment vs profit.. mtu mwenye akili timam hawez Fanya biashara kichaa kama barbershop! Unless awe na akili timamu lakin Hana exposures
 
Back
Top Bottom