ye ndo anajua???angekuwa anajua angejibu maswali in the first place na sio kuuliza mengine akidhani anajibu,it's illogical,na ndo mana ninamuuliza Eiyer je maswali yote yanajibiwa kwa maswali???mana he is just questioning,for what purpose,?mtu kauliza si ujibu tujue moja,unauliza kila kinachoulizwa??ARE U THINKING??
ye ndo anajua???angekuwa anajua angejibu maswali in the first place na sio kuuliza mengine akidhani anajibu,it's illogical,na ndo mana ninamuuliza Eiyer je maswali yote yanajibiwa kwa maswali???mana he is just questioning,for what purpose,?mtu kauliza si ujibu tujue moja,unauliza kila kinachoulizwa??ARE U THINKING??
em niambie 'fact' ni nini kwa uelewa wako?tit for tat is quite a fair game
unaeshangaza ni wewe,mana mtu kauliza swali unamuuliza swali juu,inahusuu??
I asked again fact ni nini ili nikupe a hint ya jinsi maswali unayouliza yasivyosaidia,bali yanazidi kuchanganya mambo
Sio kila swali linajibiwa na swali!
kwanini maswali yasijibiwe na swali?
Usizungumze vitu ambavyo ukiulizwa maana yake hata hujui!!!!
Ujuzi gani uliotumika kuisimamisha mbingu?
uliza nikujibu,
Siondoki pande hii hadi Eiyer anijibu kama kila swali linajibiwa kwa swali??..ametuuliza mengi hata kuyahesabu shida,mui nataka jibu la hili moja tu,
Jibu niliyokuuliza kwanza kabla ya kutaka maswali mengine!!!!!!
sasa kama unajua hilo,why are you posing questions everywhere??ni kwamba hujui kutofautisha the two au??
Kindly jifunze hata namna ya kumuelekeza mtu,mi nakubali sijui mengi ndo mana nkauliza,ur mediocre approach turned out to be too confusing mana hakuna nilichoelewa hata kidogo,..zaidi ya kuzidi kunichanganya,
umeulizwa jibu,unless necessary ndo uulize swali on top,sasa kila sehemu we ni kuuliza tuuu,SERIOUSLY???
MTU A.Hivi wanawake si wajinga sana?
MTU B.Kwanini umefikiria ni wajinga?
HOPE UMEONA KITU
yapo maswali ya kujibiwa na maswali, sio yote,sadly eiyer asks questions everywhere,mi inanipa impression hajui anachojibu wala anachouliza as well,
Unashangaza sana
Unaongea mambo ya ajabu sana
Hivi unajua maana ya kila mahali?
Kuna anaeweza kuwepo kila mahali achilia mbali kuuliza kila mahali?
Aina yako ya kukurupuka ni ya ajabu sana
Kama unajua kuwa hujui ni kwanini unakuwa unapanga na aina ya majibu?
Au hata hujui maana ya kutokujua?
Kutokuelewa ni tatizo lako kwasababu labda huna huo uwezo na ndio maana "unakomfuzi"
Lazima nikuchanganye kwakuwa unadhani unaweza kuelewa mambo makubwa kama Mungu bila tafakuri
Narudia tena sio kila swali linajibiwa na jibu na sio kila swali linajibiwa na swali
Au hata hapo "umekomfyuzi"?
umetumia kipimo gani kujua hajui kujibu au kuuliza?
we nae walewale,sijakataa kwamba yapo maswali yanayojibiwa kwa maswali ,ila SIO YOTE, ukifatilia maswali ya eiyer anazidi kukuchanganya zaidi ya kukusaidia,KILA SEHEMU ANAULIZA TUUU ,kama anaajua sana si atoe jibu moja kwa moja
anazidi kukuchanganya nini ?
kumbe unataka kusaidiwa.
Anakuuliza maswali ajue unaelewa unachouliza ,kama ndio ndo akupe jibu
Unadhani wewe kuona kama ulivyoona ni tatizo?what i see,u fail to understamd the context of questions...
Mtu anakuuliza lets say,Mungu ametokea wapi?badala ya kujibu unaweka swali juu,
afterall mtoa mada aimed kuibua maswali yasiyojibika,na ndmana hata we majibu HUNAA,na hata mtu akikujibu bado unauliza tena,what are u doing?? trying to answer or to queston?
what i see,u fail to understamd the context of questions...
Mtu anakuuliza lets say,Mungu ametokea wapi?badala ya kujibu unaweka swali juu,
afterall mtoa mada aimed kuibua maswali yasiyojibika,na ndmana hata we majibu HUNAA,na hata mtu akikujibu bado unauliza tena,what are u doing?? trying to answer or to queston?