God ...What is the origin of Man?
Masiala tena? Kwan maandiko yanasemaje mkuu kuhusu shetan na mungu?
Milele maana yake nini?
1.Nani ni mmiliki wa logo ya copy right?
2.Ukiwa mwezini ukiangalia juu unaona nini?
Lakini eva aliendelea kuzaa wa jinsia nyingineMungu aliwaumba Adamu na Eva ambao wakawazaa Kaini na Abeli.
Mbona watu waliendelea kuzaliana wakati kaini na abel walikuwa wanaume?
Basi ina maana kulikuwa na watu wengine zaidi ya kaini na abeli walokuwepo
Mbona hatujaambiwa watoto wengine?
Mungu aliupenda ulimwengu hadi akamtuma mwanae wa pekee, kama alitupenda sana kwanini hakuzuia dhambi duniani?
3. Je kuna Mungu?Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
Hii rahisi... ilianza nchiSheria na nchi kilianza nini?
Kuku.Maswali mengi tu kama ili kati ya kuku na yai kipi kilianza naomba unijibu
Hili swali nalo?Haahhahhaahhahahahah