Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Mkuu huo mfano wako wa kufuata kanuni ili kutaka kujua kuendesha gari nafikiri ni tofauti kidogo.

Gari linaonekana, linajulikana limetoka wapi n.k,

Hebu fikiria mtu anakuja anakwambia nataka nikufundishe kuendesha gari, lakini hilo gari hulioni , hujui lometoka wapi n.k lazima utahoji kwanza uwepo wa hilo gari kabla ya kutaka kujifunza zaidi kuhusu hilo gari.

Ndio maana hata darasani tukiwa tunasoma mada mpya, baada ya utangulizi huwa tunapewa historia japo fupi kuhusu mada husika kabla ya kuingia ndani zaidi katika hiyo mada.

Inawezekana nikiandika maelezo mengi nakuchanganya

Ni hivi,mtu anapokuja na kukueleza kuwa anataka kukufundisha kuendesha gari swali lako la kwanza ni kuuliza gari ni kitu gani baada ya kujua gari ni kitu gani ndipo utaanza kuuliza lilipotoka

Kujua gari ni kitu gani ndio kutakusaidia kujua kama lina mwanzo au la kwasababu utakuwa "unalijua"

Mfano rahisi ni binadamu,tunahoji mwanzo wa binadamu kwakuwa tunamjua binadamu kiasi cha kujua kuwa kwa namna alivyo ni lazima atakuwa na mwanzo tu kwasababu ana mwisho

Hivyo ili kujua Mungu kama ana mwanzo unahitajika umjue kwanza yeye ni nani halafu ndipo uje kwenye swali lako kama ana mwanzo

Umenielewa sasa?
 
Inawezekana nikiandika maelezo mengi nakuchanganya

Ni hivi,mtu anapokuja na kukueleza kuwa anataka kukufundisha kuendesha gari swali lako la kwanza ni kuuliza gari ni kitu gani baada ya kujua gari ni kitu gani ndipo utaanza kuuliza lilipotoka

Kujua gari ni kitu gani ndio kutakusaidia kujua kama lina mwanzo au la kwasababu utakuwa "unalijua"

Mfano rahisi ni binadamu,tunahoji mwanzo wa binadamu kwakuwa tunamjua binadamu kiasi cha kujua kuwa kwa namna alivyo ni lazima atakuwa na mwanzo tu kwasababu ana mwisho

Hivyo ili kujua Mungu kama ana mwanzo unahitajika umjue kwanza yeye ni nani halafu ndipo uje kwenye swali lako kama ana mwanzo

Umenielewa sasa?

Hapo nimekuelewa.

Kwa hiyo ukishamjua Mungu ni nani, pia utajua alitoka wapi?
 
Hapo nimekuelewa.

Kwa hiyo ukishamjua Mungu ni nani, pia utajua alitoka wapi?

Kwanini unadhani kuna mahali "ametoka"?
Hebu kajifunze kwanza na ukishajua ni nani ndipo uje hapa uulize!
 
Kwanini unadhani kuna mahali "ametoka"?
Hebu kajifunze kwanza na ukishajua ni nani ndipo uje hapa uulize!

Labda nimekosea kutumia neno alitoka, tuseme chanzo chake badala ya "alitoka"

Kuhusu kujifunza nimeshajifunza sana lakini katika hayo mafundisho, sikupata jibu la hilo swali hapo juu kuhusu (chanzo/mwanzo wa mungu)
 
Labda nimekosea kutumia neno alitoka, tuseme chanzo chake badala ya "alitoka"

Kuhusu kujifunza nimeshajifunza sana lakini katika hayo mafundisho, sikupata jibu la hilo swali hapo juu kuhusu (chanzo/mwanzo wa mungu)
Ulijifunza na ukajua Mungu ni kitu gani?
Ulijifunza kuhusiana na Mungu yupi?
 
Hivi matajiri na masikini walipenda wazaliwe hivyo??

Kwanini hakuna usawa wa kupata mahitaji muhimu kwa binadamu wote??

Kwanini binadamu tuna rangi tofauti??
 
"Kukubali" ni nini?
Unajua maana yake?

Kuhangaika ni nini?
Unajua maana yake?

Complicationa ndio nini?

Kwanini isiwepo?

Unajua Mungu ni nini?

maswali yako huwa YANANIBOA sana jmn,hapo sasas hujaelewa nini?unaniuliza tena Mungu ni nini wakati nishauliza na sijui katokea wapi....
What is ur objective labda?mana sio mara ya kwanza na sio kwangu tu
 
Ni kwanini wanasisasa huwatumia wananchi kama daraja kufanikisha malengo yao kisiasa na baadaye kuwasahau na kuwapuuza na bado wananchi hao hao wanajitoa akili wakati wa ngwe ya pili ya uchaguzi kuwarudisha wanasiasa wale wale madarakani?
 
1.siku yako ya kufa
2.MUNGU anaishi wapi?,
3.yesu atarudi lini kwa mara ya 2.,.ongeza mengne
4..
5.
6..
 
4.Ni siku gani ndege ya Malasyia itapatikana
5. Ni lini UKAWA watarudi tena mjengoni
 
Back
Top Bottom