Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

1. Fedha ina thamani gani?
Fedha haina thamani ila ni karatasi iliyopewa jina fedha na imepewa "thamani" na binadamu,leo hii binadamu akiamua kutokuitumia na kuweka kitu kingine,hata ukikutana na chumba kimejaa minoti wala hautaona kama ni kitu
2. Binadamu na wanyama wengine walianzaje kujamiiana?
Sisi tunaojua mwanzo wa binadamu kwa mujibu wa Mungu tunajua alianzaje,kazi kwa wale ambao hawajui hadi leo
3. Katika biblia imeandikwa adam na hawa walitenda dhambi kwa kula tunda. je ni tunda gani hilo la mti gani?
Inaonekana umehadithiwa

Ungekuwa umesoma mwenyewe ungekuwa na majibu

Nenda kasome mwenyewe kwani majibu yapo humo humo!
 
Kwa nini Mungu anakubali watu wateseke na kuhangaika duniani? While he can simply make a new heaven without any complication...
And ye ametokea wapi?
 
1. Kabla ya mbingu na dunia kuwepo nini kilikuwepo?!!

2. Kama kila jambo lina mwanzo na mwisho wake, Mungu alitokea wapi na alikotokea walitokea wapi na huko alikotokea kulitokea wapi nk nk nk?!!!

3. Nini kipi kilikuwepo mwanzo kabla ya mwanzo kabla ya mwanzo?!!! na mwisho WA mwisho ni upi?!!!

4. Nini tofauti ya maisha ya ndotoni na maisha tunayoishi live na maisha ya kaburini ndan bada ya kifo?!
5. Kama kweli Mungu yupo na hataki tufanye dhambi kwanin aliujua maisha yote nitakayoishi ata kabla ya kuumbwa kwangu kiasi cha mim saiv kufanya recorded lyf kwake?!! na iweje iwe dhambi KA alijua ntafnya hvo?!!!!!

.
.
.
mengine yashaulizwa!!!!!!!!!
 
Utakuwa vipi na uhakika kwamba mungu ameanzia wapi wakati hujui ameanzia wapi?

Wewe una uhakika "Mungu ameanzia wapi"?

Huelewi kabisaa

Unajua ngoja nikupe siri moja

Mambo yanayoimhusu Mungu ni makubwa sana na mengi pia

Kama unahitaji kumjua inabidi uwe na uvumulivu wa kutosha na ufuate kanuni zake

Kama vile unavyotaka kujifunza kuendesha gari ni hadi ufuate kanuni
Huwezi kutaka kujua kuendesha gari halafu hutaki kufuata kanuni
Hutaweza

Mungu kwa upande mwingine ni hivyo
Unapokimbilia kutaka kujua alianzia wapi wakati hata hujajua yeye ni nini ni sawa na mtoto aliyezaliwa leo atake kukimbia wakati hata kusimama hajaanza

Unapojua gari ni kitu gani,kule kujua ni kitu gani ndio kutakufanya ujue kama lilitengenezwa au laa
Bila kujua hilo huwezi kabisa kujua kama gari lilitengenezwa au sio

Jifunze kwanza Mungu ni nini halafu ndio uone kama utajiuliza alipotokea au laa!
 
1. Kabla ya mbingu na dunia kuwepo nini kilikuwepo?!!
Unataka ujibiwe na nani?
2. Kama kila jambo lina mwanzo na mwisho wake, Mungu alitokea wapi na alikotokea walitokea wapi na huko alikotokea kulitokea wapi nk nk nk?!!!
Nani alikuambia hii?
3. Nini kipi kilikuwepo mwanzo kabla ya mwanzo kabla ya mwanzo?!!! na mwisho WA mwisho ni upi?!!!
Mwanzo ni nini?
4. Nini tofauti ya maisha ya ndotoni na maisha tunayoishi live
Unajua maana ya ndoto?
na maisha ya kaburini ndan bada ya kifo?!
Yaani unataja kifo halafu unatamka "maisha" ya kaburini

Nani alikuambia kaburini kuna maisha?
Unajua maana ya kifo?
Unajua maana ya maisha?
5. Kama kweli Mungu yupo na hataki tufanye dhambi kwanin aliujua maisha yote nitakayoishi ata kabla ya kuumbwa kwangu kiasi cha mim saiv kufanya recorded lyf kwake?!! na iweje iwe dhambi KA alijua ntafnya hvo?!!!!!
mengine yashaulizwa!!!!!!!!!
Unauliza kuhusu Mungu yupi?
Be specific kijana hakuna majibu ya jumla jumla hapa!
 
1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.

2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?

3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?

Wizi mtupu
 
Huelewi kabisaa

Unajua ngoja nikupe siri moja

Mambo yanayoimhusu Mungu ni makubwa sana na mengi pia

Kama unahitaji kumjua inabidi uwe na uvumulivu wa kutosha na ufuate kanuni zake

Kama vile unavyotaka kujifunza kuendesha gari ni hadi ufuate kanuni
Huwezi kutaka kujua kuendesha gari halafu hutaki kufuata kanuni
Hutaweza

Mungu kwa upande mwingine ni hivyo
Unapokimbilia kutaka kujua alianzia wapi wakati hata hujajua yeye ni nini ni sawa na mtoto aliyezaliwa leo atake kukimbia wakati hata kusimama hajaanza

Unapojua gari ni kitu gani,kule kujua ni kitu gani ndio kutakufanya ujue kama lilitengenezwa au laa
Bila kujua hilo huwezi kabisa kujua kama gari lilitengenezwa au sio

Jifunze kwanza Mungu ni nini halafu ndio uone kama utajiuliza alipotokea au laa!

Mkuu huo mfano wako wa kufuata kanuni ili kutaka kujua kuendesha gari nafikiri ni tofauti kidogo.

Gari linaonekana, linajulikana limetoka wapi n.k,

Hebu fikiria mtu anakuja anakwambia nataka nikufundishe kuendesha gari, lakini hilo gari hulioni , hujui lometoka wapi n.k lazima utahoji kwanza uwepo wa hilo gari kabla ya kutaka kujifunza zaidi kuhusu hilo gari.

Ndio maana hata darasani tukiwa tunasoma mada mpya, baada ya utangulizi huwa tunapewa historia japo fupi kuhusu mada husika kabla ya kuingia ndani zaidi katika hiyo mada.
 
Back
Top Bottom