Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
ni kwasababu sio wakamilifu
mwenye hekima huitazama dunia na kusema vyote hivi vinachanzo au msababishi basi kilichosababisha vyote natoa jina Mungu basi
je kuna ulazima kujua yukoje wakati hata dunia na uumbaji wako tu unamashaka kufahamu
wewe kwani unaroho
Roho ni nini?
kama hujui roho ni nini utahoji vipi kitu ambacho hukijui kwamba kilitokea wapi
Kama ndio hivyo basi na Mungu ambaye ndio muumbaji na yeye pia si mkamilifu ana mapungufu kama yanavyoonekana kwenye uumbaji wake (kwa kuumba viumbe visivyo kamilifu kwa mf wake)
Ndo maana ninahoji ili nijue
(a)kwann hakuna mtume mweusi?....
(b) kwann walio leta uislam walifanya biashara ya utumwa na kuwahasi babu zetu? bado tukawaamin?
(c)kwann walio uleta ukristu walisababisha tuka tawaliwa? na hakuna mtume wa yesu mweusi ata mmoja?...
(d) wasinge kuja waarabu na wazungu waafrica tungekuwa tuna mwabudu mungu yupi?....
maswali yako huwa YANANIBOA sana jmn,hapo sasas hujaelewa nini?unaniuliza tena Mungu ni nini wakati nishauliza na sijui katokea wapi....
What is ur objective labda?mana sio mara ya kwanza na sio kwangu tu
Hujui uzito wa ulichokiuliza ndio maana unadai maswali yanakuboa
Kama huwezi kujibu na kuuliza maswali huwezi kujua unachotaka kujua
Nyie watu sijui vipi mnataka kujua hata yale mambo magumu bila kutafakari sijui ndio njia gani hiyo ya kujua
Kwa kushindwa kwako kujua lengo la maswali yangu ni ishara ya kutokuelewa hata yana lengo gani
Lakini kikubwa zaidi ni kuwa hata maswali yako hujui yanataka ujue nini
Unauliza tu kwasababu kuna kuuliza!
Kwa nini Tanzania ni Maskini?
Kwann nilizaliwa tanganyika,kwann naongozwa na kikwete,
usingezaliwa ungekuwa wapi?.?
Roho zina jinsia?
wanyama wanatufikiria kama sisi ni rational?
kwanini kuna kifo na nini lengo lake? Na je hakuna altenative nyingine?
Nauliza kuhusu hyo2 Mungu mbabe WA wababe wew unataka niulize yupi ili ujibu?!!