Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
ni kwasababu sio wakamilifu
Kama ndio hivyo basi na Mungu ambaye ndio muumbaji na yeye pia si mkamilifu ana mapungufu kama yanavyoonekana kwenye uumbaji wake (kwa kuumba viumbe visivyo kamilifu kwa mf wake)