tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Chadema ni chama au saccoss?
Chadema ni Chama Cha Siasa kilichopata kura milioni 6+ (kwa mujibu wa Lubuva wa NEC) ambayo ni idadi sawa na wanachama wa CCM Tanzania nzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema ni chama au saccoss?
Basha wako nani?
1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.
2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?
3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?
Kulitokea Watu Weus Baada Ya Laana. Na Adam Alikuwa Na Watoto Wengi Wakike Na Kiume Hivyo Wakaoana Wenyewe Na Kuzaa Watoto Ambao Wakaendeleza Yale Maagizo Zaeni Mkaongezeke Na Kuijaza Dunia
Kulitokea Watu Weus Baada Ya Laana. Na Adam Alikuwa Na Watoto Wengi Wakike Na Kiume Hivyo Wakaoana Wenyewe Na Kuzaa Watoto Ambao Wakaendeleza Yale Maagizo Zaeni Mkaongezeke Na Kuijaza Dunia
nasubiri waje kujibu hapa,duhWanababe wa namba nataka kujua,katika hesabu za fedha baada ya trion kuna msamiati mwingine
Quadrillion=10^15nasubiri waje kujibu hapa,duh
sijaelewa hapoQuadrillion=10^15
Quitrillion=10^18
Sextillion=10^21
N.kama trillion=10^12=1,000,0000,000,000sijaelewa hapo
Mungu hashindwi chochote? Kama ndiyo; basi mungu anaweza kutengeneza jiwe kubwa ambalo hawezi kulibeba?
usingezaliwa ungekuwa wapi?.?
na kabla haujaishi kiunoni kwa dingi ako,je ulikuwa wapi kabla dingi ako hajazaliwa?Kiunoni kwa dingi.
Hahaaa kweli mkuuKama Dunia inazunguka kwanini Tanzania Haifiki Marekani??