FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
Qur'an 30:
19. Hukitoa kilicho hai kutokana na kilicho kufa, na hukitoa kilicho kufa kutokana na kilicho hai. Na huihuisha ardhi baada ya kufa kwake. Na kama hivyo ndivyo mtavyo fufuliwa. Maelezo
Qur'an 112:
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. Maelezo
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. Maelezo
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa. Maelezo
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. Maelezo