Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?

Qur'an 30:
19. Hukitoa kilicho hai kutokana na kilicho kufa, na hukitoa kilicho kufa kutokana na kilicho hai. Na huihuisha ardhi baada ya kufa kwake. Na kama hivyo ndivyo mtavyo fufuliwa.
Maelezo

Qur'an 112:
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
Maelezo
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. Maelezo
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa. Maelezo
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. Maelezo
 
Mbinguni kuna wenye uhai 4 wanaomwimbia Mwokozi; Msaada
1. Yesu Kristo?
2. Eliya,
3. Henoko,
4. ...................... msaada please.
 
Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
3. Kwa nini kuna watu wanamwabudu mwanadamu ambaye wana uhakika alizaliwa, alikula chakula na tunajua anayekula chakula inampasa kujisaidia (kutoa upepo, mkojo na haja kubwa)?

4. Je Mungu anakufa?
 
swali gumu bhans


ni kutokukumbuka sekunde uliyozaliwa.
 
unajua Mungu huwa namuogopa, namuabudu, namuheshimu yani generally nampa sifa zote. Alipotuumba wanadam alitupa akili lakini yenye limitation (ukomo) tena yeye mwenyew anasema "nimekupeni akili ya kuweza kuvitawala vitu ambavo viko katika mazingira yenu". Sasa wewe ako ka akili ulichopewa cha kukutosha wewe kama wewe eti unataka ukatumie kumchunguzia aliyekupa. Mim nikiona mtu ana mdiscuss Mungu namchukulia boya yani nakuona wew ni nanga wa mwisho kwa sababu unaitumia akili yako vibaya.
Lets pray to God.
 
Je mungu huwa anacheka? Huenda labda jambo likawa linafanyika duniani la ucheshi likamfanya mungu akacheka?
 
Back
Top Bottom