Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Ukitaka kupigwa, au kutengwa ongea kingredha uswahiliKwa nini MTU akiongea kiingereza anaonekana mjuvi wa mambo na mwenye ilmu kubwa...
Je ni sawa kupima IQ ya mtu kwa ujuvi wa lugha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kupigwa, au kutengwa ongea kingredha uswahiliKwa nini MTU akiongea kiingereza anaonekana mjuvi wa mambo na mwenye ilmu kubwa...
Je ni sawa kupima IQ ya mtu kwa ujuvi wa lugha?
Neutron+Positron=?5) UJAZO MDOGO KABISA, KABLA YA 'HAKUNA', UNA VIPIMO GANI?
Where do we all go when we fall asleep?
Huwa binadamu tunaenda wapi pale tunapolala usingizi?
Mbona tumakuwa hatujielewi..akili(ufahamu) inakuwa wapHatuendi popote
Roho inatulia wapi wakati roho hailali?Hatuendi popote
labda pengine makundi tunatofautiana...si wamasemaga kuna groups nne hiviKwanini binadamu tumeshindwa kutengeneza damu despite of many research tangu miaka mingi iliyopita wakati content zinajulikana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lughaKwa nini sikuulizwa unapenda kuzaliwa Tanzania au lah?
Sio kweliKwa nini hawakuniomba ruhusa ya mimi kuzaliwa?Yaani unazaliwa bila ruhusa yako?
Nasubiri jibu hapaHivi malaika au shetani wanaweza wakajiua?
Sio kweli
iko kama yai sema ile mbaya ndo inakuwa kama kambaleroho ikoje?
uoga wa maisha ndio chanzo kikuu cha moyo kudunda
ndio, roho ya wivu ni ke na roho ya mafanikio ni me, roho mbaya nyingi ni ke roho ngumu ni meRoho zina jinsia?