Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Kwa nini MTU akiongea kiingereza anaonekana mjuvi wa mambo na mwenye ilmu kubwa...

Je ni sawa kupima IQ ya mtu kwa ujuvi wa lugha?
Ukitaka kupigwa, au kutengwa ongea kingredha uswahili
 
Kwa nini hawakuniomba ruhusa ya mimi kuzaliwa?Yaani unazaliwa bila ruhusa yako?
 
Back
Top Bottom