unajitia machi know wewe,as if u know everything....ila in real sense U DONT KNOW EVERYTHING,
Muchi know ndio nini?
Halafu unajua maana ya kujua kila kitu na kutokujua kila kitu?
Hakuna binadamu anaejua kilakitu
Lakini zaidi sana hakuna asiejua kilakitu,na hawezi kuwepo kwakuwa asingeweza kuishi
Kitendo tu cha wewe kufikiri hayo ni ishara ya umbumbu ulionao
kwani maswali yako ndo measure ya uelewa wangu?????
Sijui umefikiria hivi kwasababu gani,lakini kama ungekuwa unajua umuhimu wa maswali ungejibu na wala usingeleta longolongo za ajabu hivi
Nilichokuuliza kilikuwa hakinisaidii mimi bali wewe ili uweze kupata majibu ya kile ambacho unataka kujua lakini kwakuwa hata umuhimu wa maswali yangu hujauona ni wazi kuwa hata maswali yako hujajua yalikuwa yanahitaji majibu ya namna gani
kama huna majibu ya maswali yangu basiii...
Sio kila swali linahitaji jibu binti
Unaweza kuuliza swali ukajibiwa kwa swali,swali uliloulizwa ukilijibu litakupa jibu la swali lako
Kama hata hili hulijui ni bora uache kabisa kujadili masuala yanayomhusu Mungu
kuuliza si ujinga,nimeuliza cause nimeshindwa kupata majibu,
Kushindwa kupata majibu kunasababishwa na mambo mengi sana
Unaweza kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri
Unaweza kuwa hujui kutafiti kuhusiana na unachotaka kujua
Unaweza kuwa na matatizo ya kimtazamo
N.k
Mambo ni mengi yanayoweza kumfanya mtu asipate majibu ya kile ambacho anahitaji au kudhani kujua,hivyo unatakiwa ujikague kwanza kabla ya kuanza kuuliza uliza
wewe kuniuliza juu ya hapo hunisaidii,
Kushindwa kwako mkujua kama nakusaidia ni ishara nyingine ya wewe kutokujua hata ni aina gani ya msaada unauhitaji
Hebu nenda kwanza kajiulize kuhusiana na unachohitaji kisha urudi hapa
na kuanza kuchambua my statuo quo that sielewi nnachouliza ndo kabisaaa ur making me question ur reasoning ability......
Sioni tatizo wewe kuhoji uwezo wangu wa ku reason kwani hilo ni jambo la msingi zaidi
Tatizo ni kile kinachokufanya utilie mashaka huo uwezo wangu
Unajichanganya sana
Hujui chochote kuhusu Mungu na unakuja hapa kuuliza na unajipangia majibu ya kupewa,unashangaza hata kuliko kushangaza kwenyewe
Rudi kajifikirie upya kisha uje hapa,unadhani Mungu ni wa kukurupukia tu?